TPL: Yanga yajipigia Azam kwa goli moja bila uwanja wa Uhuru

TPL: Yanga yajipigia Azam kwa goli moja bila uwanja wa Uhuru

Imecheza CL robo fainali na ndio bingwa tena msimu huu kaipiga ndala Fc a.k.a Tasaf fc a.k.a mbute fc kaipiga Azam fc tatu.

Ngoja nikupe historia kidogo msimu uliopita Simba alichukua point 4 kwa Azam na Yanga msimu huu tumeshakua nne kwenu Azam tatu bado tuna mchezo nae

Mzee Kwa sasa hakuna Kama mnyama
Yes, kwa manunuzi ya mechi mkuu hakuna kama Mnyama. Nyau were.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukikumbisha habari za tp mazembe utashitakiwa na manara
Na pale Congo ilikuwa wapigwe 7 au 8 hivi kwa hesabu za kosakosa ya TP mazembe mikia wanafeli wapi mechi za nje
 
[emoji13][emoji13][emoji13] Kama mfatiliaji wa mpira ukiweka kando unazi unaamini walipuliziwa?
Niliona picha jamaa wamejifunga vitambaa puani, walilalamika ila sijui kama uchunguZi unafanyika au la,
 
Back
Top Bottom