Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Mikia wakiwa na wale ma ajuza wao hawajui lolote kuhusu kabumbumechi ya leo ndio ilitakima iwe mechi bora ya ligi. yanga na azam wameonyesha kandanda safi, sio mikia kubutua butua tu na kusubiri kubebwa na marefa