TPL: Yanga yajipigia Azam kwa goli moja bila uwanja wa Uhuru

TPL: Yanga yajipigia Azam kwa goli moja bila uwanja wa Uhuru

mechi ya leo ndio ilitakima iwe mechi bora ya ligi. yanga na azam wameonyesha kandanda safi, sio mikia kubutua butua tu na kusubiri kubebwa na marefa
Jesus Christ, Hivi mkuu ukiulizwa ni timu gani inaweka mpira chini inacheza kandanda la kuvutia ina posses mpira, inapata matokeo na ndio timu bora kwa sasa bongo utajibu ipi ukiondoa unazi?
 
Ujanja ujanja...
Ila narudia tena mikia hamna timu ni kikundi cha wahuni tu wanaotimia pesa kudhoofisha upinzani
Imecheza CL robo fainali na ndio bingwa tena msimu huu kaipiga ndala Fc a.k.a Tasaf fc a.k.a mbute fc kaipiga Azam fc tatu.

Ngoja nikupe historia kidogo msimu uliopita Simba alichukua point 4 kwa Azam na Yanga msimu huu tumeshakua nne kwenu Azam tatu bado tuna mchezo nae

Mzee Kwa sasa hakuna Kama mnyama
 
Azam anacheza mpira halafu wakifika golini wanapiga vishuti havina nguvu kabisa yaaani hii timu Bakhresa hela zinapotea tu buure .. uwekezaji gani huu. Naona wasimamizi wanao ongoza wapiga dili sio wapenzi wa Azam kabisa. Wana kila kitu uwanja wa mpira na mahitaji yoote na miaka yooote hii mafanikio madogo sana. Bora wajenge kiwanda pale cha kutengeza vifaa vya michezo kuliko timu hii.
Naona haya matokeo yamekuumiza kuliko hata Bakhressa mwenyewe. Pole sana kama ulikuwa na matokeo yako mfukoni.
 
Imecheza CL robo fainali na ndio bingwa tena msimu huu kaipiga ndala Fc a.k.a Tasaf fc a.k.a mbute fc kaipiga Azam fc tatu.

Ngoja nikupe historia kidogo msimu uliopita Simba alichukua point 4 kwa Azam na Yanga msimu huu tumeshakua nne kwenu Azam tatu bado tuna mchezo nae

Mzee Kwa sasa hakuna Kama mnyama
Hii simba ni mbovu sana,haijafikia hata simba ya wale madogo kina ajib na wenzie
 
Azam Fc vs Young African na vs Simba mechi mwezi ujao tena. Azam atapata pointi sita. Halafu atachukua nafasi ya pili.
 
Ligi ya Tanzania Dhaifu Sana yaani timi Kama Yanga eti ndo inaongoza ligi Cha ajabu Azam wanakubali kufungwa na Hawa omba omba
Ni aibu unafungwa na timu iliotoka kugoma juzi
 
Yanga wanapiga mpira wa uhakika kama BARCELONA vile. Yanga hii wangecheza na TP MAZEMBE . Na uhakika TP MAZEMBE wangefungwa sio chini ya goli 5
😂😂😂😂😂😂😂 ukikumbisha habari za tp mazembe utashitakiwa na manara
 
Hii ni moja kati ya comment dhaifu sana msimu huu, typical unazi.
Ifikie mahali tuwe tunakubali angalau ukweli hata mdogo. Simba ni bora zaidi tena kwa mbali kuliko Yanga na Azam combined
Kama ni bora, mbona inatembeza mlungula kila mechi, acha kujifanya kipofu wewe
 
Back
Top Bottom