TPL: Yanga yajipigia Azam kwa goli moja bila uwanja wa Uhuru

Yes, kwa manunuzi ya mechi mkuu hakuna kama Mnyama. Nyau were.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ukikumbisha habari za tp mazembe utashitakiwa na manara
Na pale Congo ilikuwa wapigwe 7 au 8 hivi kwa hesabu za kosakosa ya TP mazembe mikia wanafeli wapi mechi za nje
 
[emoji13][emoji13][emoji13] Kama mfatiliaji wa mpira ukiweka kando unazi unaamini walipuliziwa?
Niliona picha jamaa wamejifunga vitambaa puani, walilalamika ila sijui kama uchunguZi unafanyika au la,
 
Niliona picha jamaa wamejifunga vitambaa puani, walilalamika ila sijui kama uchunguZi unafanyika au la,
Zile ni propaganda hata Farid kubanda alikwisha ziimba miaka mingi sana iliyopita.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…