Kanye2016
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 2,904
- 3,006
- Thread starter
- #241
Mkuu sisi wengine tunafata maelekezo kama yalivyokuja.Mmhh naona unatupotosha aisee.
Sasa Hiyo address ya kwanza inaonesha huyo commisioner general ni wa wapi ?, wa JWTZ au.
Kama wewe unaona wamekosea andika Taasisi. Ila inaweza kuwa ni mtego huo.
Cha muhimu always ni kufata maelekezo kama yalivyotolewa.