Hili tatizo ni karibia kwa watu wote sio wewe tuMkuu ww kwako ilikuja yenyewe bila kundika au..? Na mbona inaondoka haikai pale.?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili tatizo ni karibia kwa watu wote sio wewe tuMkuu ww kwako ilikuja yenyewe bila kundika au..? Na mbona inaondoka haikai pale.?
Hili tatizo ni karibia watu wote sio wewe tu
Wewe unahisi kwanini kwny address hawajaweka jina la taasisi?Mkuu sisi wengine tunafata maelekezo kama yalivyokuja.
Kama wewe unaona wamekosea andika Taasisi. Ila inaweza kuwa ni mtego huo.
Cha muhimu always ni kufata maelekezo kama yalivyotolewa.
ExactlyHauandiki hio inakuja yenyewe automatically saved kwenye mfumo km zilivyo taarifa zako za NIDA zinakuja na picha yako moja kwa moja
sio lazimaHabari wadau, hivi kujaza kipengele cha Experience ni lazima? Kwenye portal ya TRA?
yes inakuja automatic kwenye personal yako unachoandika ni namba yako yasim na nambayako ya mtihani wa form four mtaa nadhaniMkuu ww kwako ilikuja yenyewe bila kundika au..? Na mbona inaondoka haikai pale.?
Nilichogundua kwa sisi ambao TIN haionekani na ukjjaza ukasave huikuti. Ni kwamba TIN zetu hazijaungwa na NIDA. Kuna kipengele nimeona kwenye webite ya TRA tax portal unaweza kuunganisha TIN na nida yako.yes inakuja automatic kwenye personal yako unachoandika ni namba yako yasim na nambayako ya mtihani wa form four mtaa nadhani
Shukrani kweli maana kipengele hiki hakijawekwa kama ni mandatorysio lazima
Usiwapotoshe wenzako wakaja wakaliwa mpaka mikun....u, na kazi wasipate.Basi ajira umepata chagua kituo cha kazi..!!
Ebwana Mkuu, wewe zoezi lako limeenda poa!? Maana mimi pale kwenye Qualifications, kuna kibox cha kujaza "start date" mwaka niliojaza nikija mwishoni kabisa ku_save , system inaniletea "insert valid start date" . Hapo panaendaje!?Mkuu ww kwako ilikuja yenyewe bila kundika au..? Na mbona inaondoka haikai pale.?
SAmahani, kwenye Qualification, qualification start date inakuaje, maana mwaka naouweka system inakataa na kuniambia "insert valid start date".Nimetupia tatu,watanichagulia wenyewe moja huko
Ndio mkuu kipo maeneo gani kwenye portal ya TRA..?Nilichogundua kwa sisi ambao TIN haionekani na ukjjaza ukasave huikuti. Ni kwamba TIN zetu hazijaungwa na NIDA. Kuna kipengele nimeona kwenye webite ya TRA tax portal unaweza kuunganisha TIN na nida yako.
St Athan
Perrez Amanaya7
Wewe umejuaje na wako uliliwa? 😹Usiwapotoshe wenzako wakaja wakaliwa mpaka mikun....u, na kazi wasipate.
Mungu kwanza akiamua Kila kitu kinakuwa rahisi tu.