Chocs
JF-Expert Member
- Aug 21, 2012
- 8,411
- 4,777
Nimecheka,lolTRA hakuna bahati labda kwenye ualimu..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimecheka,lolTRA hakuna bahati labda kwenye ualimu..!!
Usichoke komaa 😹Nimecheka,lol
Mkuu wapigie simu. Mimi nimewapigia nikawaeleza, wamesolve hiyo inshu kwangu. Sasaivi TIN inainekana.Ndio mkuu kipo maeneo gani kwenye portal ya TRA..?
Comments tu zimenitoa mchezoniUsichoke komaa 😹
Naona imekubali shuyes inakuja automatic kwenye personal yako unachoandika ni namba yako yasim na nambayako ya mtihani wa form four mtaa nadhani
Ndio mkuu Nashukuru naona imekaa kwasasa..🙏Mkuu wapigie simu. Mimi nimewapigia nikawaeleza, wamesolve hiyo inshu kwangu. Sasaivi TIN inaimkuu naona imesha kaa kwasasa nashukuru kwakweli..🙏
Hata mwaka juzi hawakuweka na whether utaandika jina la taasisi au la haijalishi. Cha muhimu andika Cover letter yako kwa usahihi tu.Mimi sijui ila nahisi ni mtego huo na sidhani kama wamesahau Tu.
Mfumo wao wa kidwanzi sana wameficha sehemu ya ku edit ili uweke vyeti upya duuNenda ka certify halafu wapigie TRA waeleze wakusaidie chap. Namba zao zipo kwenye Tangazo la ajira. Pambana kijana mpaka kieleweke.
YesWakuu msaada Kwa aliemaliza kuapply ni kwel Transcript tuna attach na cheti Cha chuo as a single pdf document wakat wa kuupload cheti Cha chuo?
Vuta subira, server ya TRA inazidiwa kwa sababu ya internet Traffic watu wengi wana apply...ukitaka uipatie anza mida ya saa 8,9,10 usiku hadi saa 1 hivi network inakuwa imetulia, watu wakianza kuingia makazini saa 2 na wengine kuamka msongamano unaanza mtandao unakuwa mzitoMbona system ya tra kwenye kuomba hizi nafasi inasumbua sana aisee toka juzi najaribu lakini haikubali kabsa mwenye msaada anisaidie
Si uka edit etyDah aseee mbona mm vyeti sijavicertify na nimeshatuma mambo...Aseee imeniuma sana hii
HakikaKuna watu watatu nawafahamu walipata huko nilisoma nao hawana cha bibi wala babu huko TRA na walipata.Mmoja kati yao alifanya interview ya kwanza akafeli ikatoka interview nyingine akaenda ndio akafaulu sasa hivi yupo huko.Usisikilize maneno ya watu just go for it!