JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
UnacHagua tarehe hapo mfano 03-Oct-2017Jmn alokutana na changamoto ya kuambiwa "inter a valid qualification start date" kwenye qualifications umetatuaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UnacHagua tarehe hapo mfano 03-Oct-2017Jmn alokutana na changamoto ya kuambiwa "inter a valid qualification start date" kwenye qualifications umetatuaje?
Jamani kwenye maswala ya customs assistant inabidi udeal na nini mana kuna sisi wataka vyote tumeomba nafasi zote hatujui tutatupwa wapUnacHagua tarehe hapo mfano 03-Oct-2017
kwanini usingeomba moja, ambayo unaona huko nondo. Kama umeomba nyingi ushauri wangu subiri uitwe usahili.Jamani kwenye maswala ya customs assistant inabidi udeal na nini mana kuna sisi wataka vyote tumeomba nafasi zote hatujui tutatupwa wap
mtandao tu mkuu endelea kujaribukwenye kipengele cha qualification, kwenye kuattach vyeti palipoandikwa "attachment type" kushoto mwa choose file, kwanini panasoma blank yaani hapafunguki ili uchague aina ya attachment cheti unayotaka kuweka.
Kanye2016
Joseverest
Last time walioomba nying walikua na access Kubwa ya kuitwa kuliko Tulioomba moja...mim na rafiki zangu tilioombaga moja karbu wote tulikatwa .....kwanini usingeomba moja, ambayo unaona huko nondo. Kama umeomba nyingi ushauri wangu subiri uitwe usahili.
Mlikatwa kwa sababu gani?Last time walioomba nying walikua na access Kubwa ya kuitwa kuliko Tulioomba moja...mim na rafiki zangu tilioombaga moja karbu wote tulikatwa .....
Walimu wananishangaza sana, nishawah kufanya mtihani wa E-government, nikatembe mpaka oral tukabaki wawili tukaexchange namba lakin sio yeye wala mimi alieitwa kazini ingekuwa hawa walimu si wangejinypnga?. Wangekuwa wanafanya mitihani ya programming kama yetu ile si wangejamba Cheche ?....Yaani TRA weee acha kabisa, walimu ndiyo mtaona intavyuu za wenzenu zilivyo lakini hawalalamiki km nyie.
yesWakuu, ukiwa na cheti cha chuo ambacho kimekuwa certified, kuna ulazima wa kucertify na Transcript pia?
Unacomplicate sana.. wanaangalia heading tu na kama umesign huko ndani hawana mda wa kusoma ulichoandika..Mwenye sample ya Cover letter asaidie hapa.
Naona wengi watatuma kama Application Letter.
Kwa ninavyojua Cover Letter ina utofauti kidogo na application letter. Au wataalam mnasemaje?
Kwa hiyo zote ni Sawa tu..Unacomplicate sana.. wanaangalia heading tu na kama umesign huko ndani hawana mda wa kusoma ulichoandika..
Wewe deadline ni kesho watazima server leo jion shauri yako, we badala ufanye application unahangaika na cover letter jf....Kwa hiyo zote ni Sawa tu..
Mr sorry nhataji kuuliza kitu ikiwa cover letter uliandika then ukaapply job , later on ukagundua kuwa kwenye anwani ya inakoenda barua umechanganya kipengele cha 1 na cha 2 ikabibid kucorrect na ku updates upya wakaandika successfkl updated but document ikabak ileile ya mwanzo ,je, hizo information znakuw kwel updated?Wewe deadline ni kesho watazima server leo jion shauri yako, we badala ufanye application unahangaika na cover letter jf....
Yes man..Mr sorry nhataji kuuliza kitu ikiwa cover letter uliandika then ukaapply job , later on ukagundua kuwa kwenye anwani ya inakoenda barua umechanganya kipengele cha 1 na cha 2 ikabibid kucorrect na ku updates upya wakaandika successfkl updated but document ikabak ileile ya mwanzo ,je, hizo information znakuw kwel updated?
Kama umeapply vizuri anza kupiga msuliMr sorry nhataji kuuliza kitu ikiwa cover letter uliandika then ukaapply job , later on ukagundua kuwa kwenye anwani ya inakoenda barua umechanganya kipengele cha 1 na cha 2 ikabibid kucorrect na ku updates upya wakaandika successfkl updated but document ikabak ileile ya mwanzo ,je, hizo information znakuw kwel updated?
Yani ukatwe sababu uliomba kazi moja..!, kwamba anae omba Kazi nyingi ndio ana vigezo kuliko aliomba nafasi moja..!, ukweli utabaki pale pale kuna sehem ulichemka wakati wakati wa kuomba hizo kazi, na wao pengine walikidhi vigezo vyote vya hizo kazi kuliko wewe ulie omba Kazi moja.Last time walioomba nying walikua na access Kubwa ya kuitwa kuliko Tulioomba moja...mim na rafiki zangu tilioombaga moja karbu wote tulikatwa .....
Ifute hiyo inayoonekana yaani bonyeza pale kwenye kile kialama cha X hiyo ya zamani itatoka utaiona mpya tayari ishaupload usiziache zote mbili.Mr sorry nhataji kuuliza kitu ikiwa cover letter uliandika then ukaapply job , later on ukagundua kuwa kwenye anwani ya inakoenda barua umechanganya kipengele cha 1 na cha 2 ikabibid kucorrect na ku updates upya wakaandika successfkl updated but document ikabak ileile ya mwanzo ,je, hizo information znakuw kwel updated?
Shukran sana asee, walipo andika successful updated huku bado ya zaman ipo nkadhan done,,, nimefuta ikawa inarud ya zamani nmefuta na kufuta tena nkaupload tena,,,mwishoe imetokea hii mpya nliyoweka ,,, ila nashukuru sanaIfute hiyo inayoonekana yaani bonyeza pale kwenye kile kialama cha X hiyo ya zamani itatoka utaiona mpya tayari ishaupload usiziache zote mbili.