Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenye group la tax management officer II la kusolve maswali atuwekee linkMwenye pepa za mwaka 2023 azilete hapa
Watu wamekua wachoyo.ukiomba watume past papers hawatumi.Mwenye pepa za mwaka 2023 azilete hapa
Weee hujafungua groupMwenye pepa za mwaka 2023 azilete hapa
Ndio mkuu hata ya mwaka juzi NBAA ndo walihusikaNasikia NBAA ndo wanatunga hizi pepa. Kwa story za mtaani.
Kumbe!! Me nilifahamu labda chuo cha ITANdio mkuu hata ya mwaka juzi NBAA ndo walihusika
Hao ITA kuna kipindi walikua wanapewa hiyo tender wakawa wanaleakisha mitihani kwa wahitimu wao.tra wakaanza kuwatumia NBAA,udsm na mzumbe.Kumbe!! Me nilifahamu labda chuo cha ITA
Yaani hawaaminiani wenyewe kwa wenyewe..Maana kwenye hiz ajira kuna wengine wanaenda kufanya kazi kwenye hiki chuo kama Tutorial na lecturersHao ITA kuna kipindi walikua wanapewa hiyo tender wakawa wanaleakisha mitihani kwa wahitimu wao.tra wakaanza kuwatumia NBAA,udsm na mzumbe.
Mwenye link ya WhatsApp kwa post ya Internal Affairs Officer II naiomba tafadhume
Mkuu umepitia JKT? Una uhakika vetting ikifanyika upo clean? I know this post na mtu wanae mhitaji, kimsingi hawa ndio moyo wa mamlaka, "Kwanini hujakopa na unajenga ghorofa"Mwenye link ya WhatsApp kwa post ya Internal Affairs Officer II naiomba tafadhali
Mtaliban nakufungulia code hata hunielewi, hayaSijapita JKT lakini pia kigezo Cha JKT sijakiona mwenye tangazo la kazi