TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

je ukiwa shortlisted for interview unapataje taarifa? wanatuma mails au wanapiga smu?
 
Binafsi napenda kuchukua nafasi hii kuwatakia Kila Kheri wadau wote wa humu jukwaani ambao mmefanikiwa kufanya application kwa mafanikio. Baraka za Mungu ziwe juu yenu mfanikiwe kwenye maombi yenu.
Amen mkuu
 
Back
Top Bottom