Noma sanaMtaliban nakufungulia code hata hunielewi, haya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sanaMtaliban nakufungulia code hata hunielewi, haya
Nadhani ikizidi sana ni miezi 3.. Mwaka 2023 deadline ilikuwa June.. Interview tukaitwa September.. Sijajua Mwaka huu!!Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *
tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link
Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *
tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link
Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi
Na vipi kuhusu shortlist inaweza kutoka baada ya muda gani?Nadhani ikizidi sana ni miezi 3.. Mwaka 2023 deadline ilikuwa June.. Interview tukaitwa September.. Sijajua Mwaka huu!!
Tengeneza link watu wa join mkuuMzee na Mimi nahitaji hiyo link ya HR kama ipo
Hapo nimemaanisha kuwa shortlisted kwenye Interview ya writtenNa vipi kuhusu shortlist inaweza kutoka baada ya muda gani?
Kama ni selection za robot si wabonyeze tuu hiyo button selection zitoke tuendelee na mambo mengine wasije wakawa kama secretariet tumefanya application August mpaka leo no interview yaani miezi 7 inaenda unasoma miezi 7 kujianda na interview kama nasoma Masters ya IAAWakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *
tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link
Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Kweli kabisaWatu wanapata bwana usiwavunje moyo watu machungu yakupoteza gharama zako kufanya interview ukakosa usilete kuwaaminisha watu ajira zinatangazwa geresha acha watu wapambane nawao waone usikatishe watu tamaa kila mtu na njia yake kwenye hii Dunia tulia dada subili
Rudi kwenye post za nyuma ipoMwenye group la tax management officer II la kusolve maswali atuwekee link
HahahahahaSijapita JKT lakini pia kigezo Cha JKT sijakiona mwenye tangazo la kazi
Nmeona tax management assistant tu sjaiona TMO IIRudi kwenye post za nyuma ipo
Ndio hlohlo groupNmeona tax management assistant tu sjaiona TMO II
Changamoto sio kupiga msuli....Changamoto watu tumeappply zaidi ta nafasi moja hivyo unashindwa kujua which is which😂Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *
tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link
Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Sema hiyo ndio shida mkuu aman huna muda ndio unatambua piga kote kote mkuu left na right poppte kambi jifue hata for futureChangamoto sio kupiga msuli....Changamoto watu tumeappply zaidi ta nafasi moja hivyo unashindwa kujua which is which😂
Kuna link yoyote ya maswali mkuu ya TRA?Habarini Wakuu!!!!!!
Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.
Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.
Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.
Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.
Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.
Shukran.
Watu wako motroooo mpka naogopaLink za Whatsapp watu wametuma humu, angalia vizuri utaziona.