TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *

tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link

Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
 
Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *

tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link

Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Nadhani ikizidi sana ni miezi 3.. Mwaka 2023 deadline ilikuwa June.. Interview tukaitwa September.. Sijajua Mwaka huu!!
 
Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *

tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link

Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi

Mzee na Mimi nahitaji hiyo link ya HR kama ipo
 
Engineers mbona kimya, sijasikia mining, mineral, petroleum, chemical, textile, mechanical wakiitana humu!!
 
Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *

tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link

Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Kama ni selection za robot si wabonyeze tuu hiyo button selection zitoke tuendelee na mambo mengine wasije wakawa kama secretariet tumefanya application August mpaka leo no interview yaani miezi 7 inaenda unasoma miezi 7 kujianda na interview kama nasoma Masters ya IAA
 
Watu wanapata bwana usiwavunje moyo watu machungu yakupoteza gharama zako kufanya interview ukakosa usilete kuwaaminisha watu ajira zinatangazwa geresha acha watu wapambane nawao waone usikatishe watu tamaa kila mtu na njia yake kwenye hii Dunia tulia dada subili
Kweli kabisa
 
Wakuu naulizia mwenye Link ya group la TRANSPORT OFFICERS (T.O's) kama lipo aweke link hapa

Nazitanguliza shukrani zangu
 
Wakuu tutulie kila mtu ataitwa maana walisema ku select ni robbot litafanya kazi hiyo sio binadamu ila hurusiwi kuruka kipengele chochote kwenye vile vilivyowekewa *

tuendelee kupiga msuli mwenye ma group ya H.R na administrative officer naomba a share link

Pia nilikua naomba kujua wenye uzoefu inachukua muda gani kuita watu kwenye usaili?? Au ndio kama yale ya utumishi miezi 8
Changamoto sio kupiga msuli....Changamoto watu tumeappply zaidi ta nafasi moja hivyo unashindwa kujua which is which😂
 
Changamoto sio kupiga msuli....Changamoto watu tumeappply zaidi ta nafasi moja hivyo unashindwa kujua which is which😂
Sema hiyo ndio shida mkuu aman huna muda ndio unatambua piga kote kote mkuu left na right poppte kambi jifue hata for future
 
Habarini Wakuu!!!!!!

Kama mlivyoona kwenye mitandao ya kijamii. Mamlaka ya Mapato nchini Tanzania wametoa fursa za ajira kwa vijana wa kitanzania.

Fursa ni nyingi kweli na wamegusa fani nyingi tu. Jumla ya nafasi walizotangaza ni 1596.

Kwa hiyo Wakuu kama kuna mtu ana link ya Group ambao wana solve maswali kwa ajili ya kujiandaa na Interview hii naomba uweke link hapo chini ili watu tujumuike wote.

Ushirikiano ni muhimu watu wote watoboe. Cha muhimu kufika kwenye Oral.

Na kama una hints au topic au maswali unajua yataulizwa, tusaidie kuweka chini hapo kwenye comment ili wengi wafaidike.

Shukran.
Kuna link yoyote ya maswali mkuu ya TRA?
 
Back
Top Bottom