TRA 2025: Tupeane Mbinu za kufaulu Usaili (Interview) Za TRA

Huko mpk dereva ana maisha mazuri min 😹
Hawa wakusanya ushuru wanapiga sana mipunga huko..!!
Pesa za nnje nnje sio , ndio maana kuna baba yangu mdogo yeye mda wote ni kuweka miwani juu ya kichwa na kuchomekea t-shirt ndani ya jinsi na kuwalamba vidampa wa mjini, kumbe anajichotea bila kipimo
tuπŸ€”
 
Pesa za nnje nnje sio , ndio maana kuna baba yangu mdogo yeye mda wote ni kuweka miwani juu ya kichwa na kuchomekea t-shirt ndani ya jinsi na kuwalamba vidampa wa mjini, kumbe anajichotea bila kipo tuπŸ€”
Na walivyojaa wachaga sasa 😹😹
Wachaga nawakubali kwa kunusa fursa na wengi wanawekana..!!
Sijui waliambiwa ni mali yao mpk wanarithishana 🀣
 
Confidence
Smartness (usinyoe kiduku)
Be knowledgeable
Don't panic
Bring with you all the academic credentials & CV
Practice your language (interview language lines are universal)
 
Wachaga wa sasa hasa hawa vijana wa 2000 ni shida nimempa dogo asimamie biashara yeye kaito,,,bea yote.πŸ˜…πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…