TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

TRA fanyeni kazi yenu kwa ufanisi! Watu hawaombi risiti na wenye maduka hawatoi risiti kikamilifu!

Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo
▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu
▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu
Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.
▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali
•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!
•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!
•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.
•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!
•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!
HITIMISHO
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
Hili jambo sijui limewashinda TRA au vipi? Kama vipi waajiri watu kukagua Kila anaetoka kwenye badhi ya maduka makubwa.

Ukweli ni kwamba watu hawaombi risiti na wauzaji hawatoi,la sivyo wawe wanafanya ukaguzi wa kushtukiza wakibaini wapige faini hapo hapo maana kuna kulega kutoa risiti tofauti na wakati wa Magu..

Pili polisi washirikoshwe kwenye kukagua bidhaa zote ambazo wateje wananunua kama hakuna risiti faini zihusike mbona watu watadai risiti tuu?..

Angalau TFS wameweza kwenye mkaa kwa nini TRA mnakuwa wazembe? Yaani Nina ushahidi kabisa watu hawadai risiti kabisaa na jamaa usipodai hawakupi.
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo
▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu
▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu
Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.
▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali
•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!
•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!
•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.
•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!
•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!
HITIMISHO
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
Hizi elimu zianzie shule na huu ndio uzalendo wenyewe hata mtaani watu waelimishwe kwamba huduma wanazohitaji zitapatikana kwa watu kudai risiti,ukinunua anaelipa kodi ninunuzi ukiacha unampa faida muuzaji .
 
Kama mtazania mzalendo ungetoa taarifa polisi haraka au TRA task force chap...hapo ungekuwa umesaidia...
Watuwekee namba za kuwataarifu japo kwa sms maana mimi kila duka nikinunua nisipodai risiti hawanipi nikidai wanatoa chap tena huku wanaogopa kuhisi labda ni Afisa wa TRA..

Uchunguzi niliofanya ni kwamba kipindi cha Magu walikuwa wanatoa risiti fasta bila mteja kudai lakini saizi hawatoi tena risiti maana TRA hawafanyi Kazi yao..

Yaani ukidai ndio wanatoa kwa shingo upande,sasa huu ni upuuzi TRA waweke namba za kuwataarifu kwenye maduka hayo kama ilivyo kwenye mabasi kuna namba za Traffick.

Mara wasingizie network haifanyi Kazi mara sijui nini,hakuna mtu yuko tayari kulipa kodi kwa hiari bila kusukumwa.
 
Umeshauri vizuri mimi niliwahi kushauri hapa wakanitukana! Tatizo hata hao tra sasa hivi upigaji umerudi tena sijui nani wa kumsaidia samia maana inavyoonekana ni kama hawamwogopi tena.
 
HII HOJA IMEKUFICHUA, HUNA UCHUNGU NA NCHI YAKO UNACHOTAKA NI WACHACHE WABEBE MZIGO WA KODI KWA KIGEZO CHA BIASHARA.

Yaani unaona si sawa kulipa tozo ila unasikia uchungu mfanyabiashara akitaka kuuza bidhaa yake bila VAT.

Anayelipa VAT ni raia, huyo huyo aliyeambiwa lipa tozo....mfanyabiashara anaisaidia TRA kuikusanya bure tena akichelewa kutoa taarifa anapigwa faini.

Wanunuzi wengi hawataki kulipa VAT hivyo mfanyabiashara anabaki na chaguzi mbili, asiuze bidhaa au aiuze bila VAT asikupe risiti. Unadhani atachagua nn? STUPIDO MNYONGE

Unajua mfanyabiashara kalipa kodi ngapi mpaka hilo duka lipo hapo?
Ni vile watu hawaelewi binafsi siko tayari kumnugaisha mfanyabiashara kwa jasho langu bora hiyo fedha iende Serikalini na hata wakisema inaibiwa hawawezi iba yote..

Ni suala la uelewa tuu,kodi nalipa Mimi mfanyabiashara ni njia ya kupitia,wao Kwa kuwa ni wakwepa kodi hawataki tudai risiti kwa sababu otaonyesha ukubwa wa biashara yao na hivyo Kumbe watabainika kuwa walikuwa wanakwepa kodi.
 
Wewe utakuwa kapumbavu! Mbona tumevuka lengo la makusanyo kwa mwezi September? Wacha tu watu waendelee hivyo hivyo!
Umevuka lengo na nani ? Toa upumbavu wako hapa,wamekusanya kwa 94%

Pesa inayotakiwa takiwa kukusanywa ni nyingi zaidi ya hiyo.
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo
▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu
▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu
Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.
▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali
•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!
•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!
•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.
•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!
•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!
HITIMISHO
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
WEWE NI MUUONGO
 
kwanini wahangaike kufuatilia risiti wakat tozo zipo. wafanya biashara wakilazimishwa kulipa kodi watafunga biashara zao, so bora wasilipe.
 
Ni vile watu hawaelewi binafsi siko tayari kumnugaisha mfanyabiashara kwa jasho langu bora hiyo fedha iende Serikalini na hata wakisema inaibiwa hawawezi iba yote..

Ni suala la uelewa tuu,kodi nalipa Mimi mfanyabiashara ni njia ya kupitia,wao Kwa kuwa ni wakwepa kodi hawataki tudai risiti kwa sababu otaonyesha ukubwa wa biashara yao na hivyo Kumbe watabainika kuwa walikuwa wanakwepa kodi.
Ni kweli mkuu. Umeongea vizuri ila si wafanyabiashara wote ni wakepa kodi.
 
Huku ulaya kodi inayokusanywa,matunda yake yanaonekana bila ubadhirifu. Sasa Tz kodi kibao na sasa tozo juu na matumizi ya serikali yasioonesha kwa upande wa viongozi kutokuonyesha kubana matumizi ,matokeo yake wananchi wanakosa motisha kuhakikisha wafanyabishara wanatoa risiti. Ukweli mchungu..
Ni kweli mimi naamini watanzania walishazoea kukwepa kodi ma ikitokea mtu anafatilia kodi kikamirifu watamuona ni adui yao! Lakini wakumbuke tunakoomba misaada hawana utani kwenye kodi lakini huku tumachekeana!
i
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo
▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu
▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu
Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.
▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali
•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!
•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!
•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.
•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!
•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!
HITIMISHO
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
Mwanza inaongoza kutotoa risiti
 
Ach roho mbaya, hatujaridhika na matumizi ya kodi zetu ndo mana hatuombi risiti.
 
wacha watu waibe maana serkalin huko viongoz wanaiba sana na hawaoneshi matumiz bora ya kodi, zaid ya kupanda mindege ya hasara kama walivyosema, na kutoana lunch nje za nchi,...acha watu waibe tu...kula kulana
 
Juma mosi nilienda kariakoo kununua bidhaa kwenye duka linalomirikiwa na mtu mwenye asili ya kichina mara baada ya kufika muuzaji akamiambia yafatayo
▪︎Kitu unachotaka kununua ni cha laki na hamsini ila bila risiti laki na thelathini elfu
▪︎Na ukitaka bila risiti kabisa ni laki na ishirini elfu
Wakati niko pale akaja mtu anachukua pisi kama 20 za hiyo bidhaa yule dada akaniambia kaka unamuona huyu pamoja na kwamba anachukua pisi ishirini tunamwandikia risiti ya laki tano ya kutembea nayo iwapo akikutana na TRA isiwe usumbufu kwake!.
▪︎ Nilijiuliza sana kwa jinsi yule dada wa kichina anavyokuwa akiprint risiti za uongo mbele yetu watanzania na je ingekuwa mtanzania yuko huko kwao akifanya hivo ingekuwaje?
OMBI
•Naomba sana serkali iendelee kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa kulipa kodi ikiwa ni pamoja na kuomba risiti na hii itasaidia vijana wetu kukua na mtazamo huo wa kutoa kodi!
•serkali ijikite katika kuwafatilia wafanya biashara pasipo kuchoka maana ukwepaji wa kodi upo kwa kiasi kikubwa sana saizi maana anapouza bila kutoa risiti anaiibia serkali
•Serkali itambue bila kuwazoesha watanzania hususani wafanya biashara kutoa kodi kwa uaminifu itapoteza mapato mengi sana!
•Serkali itambue kama mwananchi wa kawaida a anakatwa tozo hivo hivo na mfanya biashara kama ilivo kwa mfanya kazi ni lazima alipe kodi ya serkali!
•Serkali itambue pia kwenye suala la kodi hakuna urafiki hapo kuna uwajibikaji kwa kila upande bila kupepesa macho.
•Serkali iachane na kujipendekeza kwa watu ili kuomekana kuwa ni serkali nzuri ndio maana Mwalimu Nyerere alisema serkali fisadi haikusanyi kodi!
•RAIS SAMIA kwenye hili uwe mkali na mwelevu tofauti na hapo mambo yatakuwa mabaya sana hapo baadae yaani watu hawaombi wala kutoa risiti!
HITIMISHO
Watanzania tuweni wazalendo pamoja na serkali kufanya kazi yake kikamirifu ya kukusanya kodi kupitia TRA. Na hii itatuepusha kukimbizana na watu wa hali ya chini kwa kuweka tozo zisizo na msingi!
Huo mchezo kawaida K'koo.
 
Back
Top Bottom