TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Hii tarifa inawavua nguo sana CCM!Kupitia taarifa yao waliyoweka kwenye mitandao ya kijamii, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imedai kutohusika kwa namna yoyote katika ufungaji wa Bar ya 'The Cask'
Imewataka wahusika na umma kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu jambo hilo.
Pia soma
- Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari?
View attachment 2719768
kigwangala acha apambaneThe casket inaenda kuondoka na watu
ligendi huyoNa siku hizi imepoteza mvuto ..
Hayo ni mawazo ya Mkurugenzi na RC Makala full kukurupuka juzi wamesimamisha ujenzi wa jengo kubwa la kibiashara!The casket inaenda kuondoka na watu
Kigwangala anahusika nini hapo?kigwangala acha apambane
Ha ha ha inachekeshaKupitia taarifa yao waliyoweka kwenye mitandao ya kijamii, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imedai kutohusika kwa namna yoyote katika ufungaji wa Bar ya 'The Cask'
Imewataka wahusika na umma kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu jambo hilo.
Pia soma
- Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari?
View attachment 2719768
π π π πligendi huyo
anahusika kwa namnanya kuwekeza iwe direct au in directKigwangala anahusika nini hapo?
Cask Bado ni Top manyota Mwanza .... na imeshakua Brand nambari moja ya starehe baada ya Villa kufa kibudu...Na siku hizi imepoteza mvuto ..
Yaani mkusanya kodi kakana, lakini aliyefunga kasema waliofungiwa wamekwepa kodi miaka miwili..!!!Kupitia taarifa yao waliyoweka kwenye mitandao ya kijamii, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imedai kutohusika kwa namna yoyote katika ufungaji wa Bar ya 'The Cask'
Imewataka wahusika na umma kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu jambo hilo.
Pia soma
- Mwanza: Baa ya The Cask yafungwa kwa tuhuma za ukwepaji kodi
- Imekuwaje The Cask Bar waombe radhi kwa wateja wao kuwa na ujumbe wa kuokoa bandari?
View attachment 2719768
Hata mteuzi nae sijui huwa anahongwa au anapigwa kipapai. Makala ameshajichokea, ameonesha hawezi basi system imtupe wachukuliwe vijana bado hii nayo haitasaidia kwasababu the core engine ni katiba mbovu inayowafanya wateuliwa kuwa walamba makalio ili walinde ulaji.Hayo ni mawazo ya Mkurugenzi na RC Makala full kukurupuka juzi wamesimamisha ujenzi wa jengo kubwa la kibiashara!
Inawezekana ila anayefahamika ni Makanyaga!anahusika kwa namnanya kuwekeza iwe direct au in direct