TRA: Hatuhusiki kwa namna yoyote ufungaji wa 'The Cask Bar' jijini Mwanza

TRA: Hatuhusiki kwa namna yoyote ufungaji wa 'The Cask Bar' jijini Mwanza

Kupitia taarifa yao waliyoweka kwenye mitandao ya kijamii, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imedai kutohusika kwa namna yoyote katika ufungaji wa Bar ya 'The Cask'

Imewataka wahusika na umma kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu jambo hilo.
Kufanya nini
 
Kupitia taarifa yao waliyoweka kwenye mitandao ya kijamii, Mamlaka ya Mapato Tanzania(TRA) imedai kutohusika kwa namna yoyote katika ufungaji wa Bar ya 'The Cask'

Imewataka wahusika na umma kwenda kwenye mamlaka husika kuhusu jambo hilo.
Mamlaka husika ipi ambayo Tra wanaelekeza washakunaku kufuatilia?
 
Waifungulie bana
Mwisho wa mwezi huu nitakuwa mwanza,Sasa wanategemea nitaenda kuinjoi na familia yangu wapi?
 
Back
Top Bottom