TRA: Hatuhusiki kwa namna yoyote ufungaji wa 'The Cask Bar' jijini Mwanza

TRA: Hatuhusiki kwa namna yoyote ufungaji wa 'The Cask Bar' jijini Mwanza

... lakini Taarifa zilizopo ni kwamba wamefungiwa kwa kutokulipa kodi ninyi kama TRA na CASK akiwa kama mteja wenu mmechukua hatua gani zaidi ya kukanusha hamuhusiki ?
Ufafanuzi utaupata Lumumba.
 
Haya nakuja Mwanza mwisho wa mwezi tukafanye Research kuanzia Malaika, Cask, Bundesliga, Gold Crest, Taiwan, The Breeze, City Link, DV 8, Mwanza City...e.t.c wapi wanavibe
poa karibu mkuu.. mademu hupendi ?
 
Ile bar ni kubwa sio rahis kukosa hivyo vitu
Ni sawa qnaweza kuwa navyo...
Je ana'renew? Au alivyopewa tu akavibandika akasahau kufanya renewal....

Nimewahi kushuhudia Taasisi kubwa tu imelipishwa fine na BRELA sababu Business licence ime'expire zaidi ya miaka mitatu..

Haya mambo yanatokea Mkuu..
 
Hata mteuzi nae sijui huwa anahongwa au anapigwa kipapai. Makala ameshajichokea, ameonesha hawezi basi system imtupe wachukuliwe vijana bado hii nayo haitasaidia kwasababu the core engine ni katiba mbovu inayowafanya wateuliwa kuwa walamba makalio ili walinde ulaji.
It's about time for him to be thrown out once and for all !!
 
Waliofunga ni Halmashauri ya Jiji.

Kutetea swala la Bandari. Upuuzi mtupu.

Kuokoa bandari ina tafsiri pana. Kuleta uwekezaji na hivyo kupanua wigo wa wateja ni namna moja ya kuokoa bandari.

Kuacha bandari ibaki patupu bila ya shehena za mizigo ni kuiua bandari yetu.

Akili finyu sana.
Basi wakipeleka kesi mahamakamani wanashinda na fidia wanalipwa mawakili mbona kama mchongo huu apa sema huko Nako pia Mambuzi wapo
 
Back
Top Bottom