saigilomagema
JF-Expert Member
- Jun 5, 2015
- 4,683
- 7,222
hao TRA si watulize boli hata wao. Kwani lazima watoe tamko? Km ni taasisi ya serikali imefunga lazima kuna sababu, sisi wengine kinatuhusu nini km siyo kiherehere? Hiyo Cask bar inawahusu nini watanzania mpaka iwe mjadala humu? Tumekosa kabisa kazi za kufanya kiasi hiki? Mtu ameiibia serikali mnakuja huku kumtetea, watu wamekuwa wa hovyo kabisa utafikiri wanaumwa.Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kuujulisha Umma kuwa, haijahusika kwa namna yoyote na ufungaji wa Bar ya THE CASK iliyopo Jijini Mwanza.
Tunaomba wahusika na Umma wawasiliane na Mamlaka husika juu ya jambo hilo.
-
Pia soma