TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

TRA imekusanya Trilioni 11.11 kuanzia Julai hadi Desemba 2021 na trilioni 2.51 Desemba 2021 pekee

Sasa si ndio nikasema tuachana na masuala ya kukopa, tulioe kwanza hii ambayo tumeshaingizwa mkenge, wewe ukasema tena eti tutaachaje kukopa kwa ajili ya miradi ya kimkakati, ukasema sina data, ndio nimekupa hizo data kwamba trillion 8 tulizokopa hazikuwa za miradi ya kimkakakati.., legeza ubongo kidogo
Walio ndani ya serikali ndio wanazo taarifa sahihi ya nini kinaendelea, vinginevyo ni hearsay tu za mitandaoni kama kawaida ya watanzania.
 
hilo ongezeko lipo accredited na vyanzo vipi kwa kiasi gani na hivyo vyanzo / tozo ni direct proportional na ukusanyaji ? Tozo za miamala zimeongezea kiasi gani katika hilo ongezeko
 
Kazi kubwa inafanyika nchi nzima na pesa inapokwenda kote inajulikana. Mnaanzisha majungu baada ya kifo cha JPM.

Paka akitoka panya hutawala, ndio mnachokifanya nyinyi kwa sasa.
Pesa nyingi zimekopwa kwa muda mfupi sana, trillion 10 ndani ya miezi 9, na hakuna hata senti imeenda kwenye miradi ya kimkakati, tena bila idhini ya bunge, hili lazima liondoke na mtu!
 
Walio ndani ya serikali ndio wanazo taarifa sahihi ya nini kinaendelea, vinginevyo ni hearsay tu za mitandaoni kama kawaida ya watanzania.
Data zimewekwa ni kiasi gani kimekopwa ndani ya miezi 9 na wapi zilipoelekezwa, sasa sijui unataka uambiwe nini tena
 
Pesa nyingi zimekopwa kwa muda mfupi sana, trillion 10 ndani ya miezi 9, na hakuna hata senti imeenda kwenye miradi ya kimkakati, tena bila idhini ya bunge, hili lazima liondoke na mtu!
Ndugai kaomba radhi hadharani. Ni kama mnapoteza muda wenu. Fanyeni masuala mengine yatakayoyasaidia maisha yenu.
 
Sasa si ndio nikasema tuachana na masuala ya kukopa, tulioe kwanza hii ambayo tumeshaingizwa mkenge, wewe ukasema tena eti tutaachaje kukopa kwa ajili ya miradi ya kimkakati, ukasema sina data, ndio nimekupa hizo data kwamba trillion 8 tulizokopa hazikuwa za miradi ya kimkakakati.., legeza ubongo kidogo
Tumekopa Trillioni 8
Samia huyu huyu??
Naona umeamua kutunyeshwa chai ila imepoa sana
 
How do you define illiteracy?! Ni Nani amesema data zisiwepo?! Huelewi hata interpretation ya maandiko ya wenzio? Who is illiterate then? Kumwambia mtu atoe ufafanuzi in a simple language Kuna ubaya gani?!
Unajicontradict
Ukiambiwa unaruka ruka
 
Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Kamishna Mkuu wa TRA, mamlaka hiyo imevunja Rekodi ya kukusanya Kodi kiasi cha Shilingi Trilioni 2.51 kwa Mwezi Desemba 2021 ikiwa ni kiwango cha juu kabisa kukusanywa katika Mwezi tangia kuanzishwa kwake. Katika kipindi cha Desemba 2020, TRA ilikusanya pungufu ya kiasi hicho kwa asilimia 20. Aidha Makusanyo kwa miezi 6 iliyopita ni Shililingi Trilioni 11.11 ikilinganishwa na Trilioni 9.24 zilizokusanywa kwa kipindi kama hicho mwaka 2020.

Pongezi kwa Mhe. Samia, pongezi kwa Kamishna Kidata kwa kutokusanya kodi ya dhulma lakini matokeo yanaonekana. Watanzania lipeni Kodi kwa hiari mjenge nchi yenu.

Kazi Iendelee.

cc: Suzy Elias
Niambie hayo matokeo yanayoonekana
 
Bado ni ndogo sana.
Kodi ikikusanywa kiufasaha bila janja janja na rushwa, kwa mwezi trillion 5 zinakusanyika.
Kuna ukwepaji mkubwa sana wa kodi na janja janja.
Unakuta mtu ana turnover ya 200m annually ila TRA mashine inasoma 45m au 30m. Na hii ni biashara moja sasa piga mahesabu maelfu ya biashara yanayofanya ujanja.
Wee unaona 200m kwa mwaka ni kubwa maana hadi muuza chips anaweza kuifikia hiyo figa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui hapa govt imeishiwa mbinu au vipi..Watu wanalaumu Kukopa huku Kodi hawalipi..

Serikali imeshindwa kuunda kikosi Kazi kweli Ili kuwabana watu wote wanaonunua bidhaa bila risiti? Polisi wapo,TRA wapo na watendaji wapo sasa sijui tatizo ni nini..

Hii nchi watu hawalipi Kodi, yaani kuna maduka ya madawa nayafahamu ya jumla wanauza balaa lakini waliacha kutoa risiti kitambo ukiomba hadi wanakushangaa mara mbili mbili..

Au TRA wekeni mawasiliano rahisi Ili tuwafahamishe.
Hayo mambo ya EFd sijui Kama yana umuhumi wowote cha msingi mtu alipe kodi anyoimudu .unawsza kuwa na EFD na mauzo yako yasi8nekane makubwa maana EFd haingialii gharam za uendeshaji wa biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wee unaona 200m kwa mwaka ni kubwa maana hadi muuza chips anaweza kuifikia hiyo figa

Sent using Jamii Forums mobile app
Sijasema kubwa au ndogo bro, huo ni mfano tu.
Kwani mtu akisema mwanafunzi kapata alama 40% kwenye mtihani wa Kiswahili, alafu akawadanganya wazazi amepata 65, haimaanishi kwamba 65 ni kubwa sana hoja ni udanganyaji, nadhani umepata logic wapi nililenga, hivyo inaweza kuwa kiasi chochote.
 
Hayo mambo ya EFd sijui Kama yana umuhumi wowote cha msingi mtu alipe kodi anyoimudu .unawsza kuwa na EFD na mauzo yako yasi8nekane makubwa maana EFd haingialii gharam za uendeshaji wa biashara

Sent using Jamii Forums mobile app
Nikuulize jambo moja,
Utajisikiaje wewe unafanya biashara na unapata faida tuseme milioni 10 kwa mwaka ukitoa gharama za uendeshaji uambiwe ulipe kodi milioni 2, na kuna jirani yako mwenye biashara kubwa zaidi yako, akitoa gharama za uendeshaji anabaki na faida ya milioni 50, nayeye akalipa milioni 2 kama yako, unadhani hautakuwa na hisia kwamba unaonewa endapo utajua hilo jambo?

Basi kama utahisi au kudhani unaonewa basi mkusanya kodi pia kwa vifungu vya sheria ya ukusanyaji wa kodi pia ataona kuna upunjwaji kwenye baadhi ya biashara kama vile ambavyo umehisi au kudhani unaonewa.

Siongelei matumizi au ubadhilifu baada ya ukusanyaji hilo ni jambo jingine pia.

EFD lengo lake ilikuwa kusahihisha changamoto za hilo swali nimekuuliza hapo juu, kwamba ulipe kulingana na figures stahiki, na nadhani kama mfumo ungekuwa unatumika ipasavyo basi kungekua hamna umuhimu tena wa mtu kukadiriwa kodi ilihali data zake zote za uendeshaji wa biashara zinafahamika, kuanzia manunuzi, mauzo na matumizi wezeshi ya kuendesha biashara.
 
Endeleeni kuwaona wananchi vilaza. Kumbe mnaweza kusanya matrilion ya pesa, kwanini mnaenda kukopa ili mjenge madarasa yenye tiles na mabati ya kijani kama sio upunguani ni nini?.
 
Back
Top Bottom