TRA, inakuwaje ushuru wa kuingiza gari ni mkubwa kuliko bei ya gari lenyewe?

Bahati mbaya wapiga kura wapo vijijini na wao hawana mtazamo sawa na wa vijana wachache wa mijini.
 

Sis tulizaliwa mabwege na tutakufa mabwege. Ingekua nchi nyingne sasa hv watu wangeshachoka na wangepambana yakaisha huku kwetu kila mtu na lake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…