Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Gari ina address zote kwenye usajiri kwa nini wasitume taarifa kwenye kitengo cha magari kujua linapotoka hata simu ipo kwenye mtandao wao walikua wanatafuta kifo hao.Walijuaje kuwa tra? Mwenye bmw unaambiwa alipiga kelele kuwa anatekwa.
Kumbe kile kipigo Nilikuwa kikubwa🤔🙇🏿♂ apumzike kwa amaniView attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Kifo hiki kitawaamshaKila mtu ni Kambale siku hizi.
Hapana mimi alikuwa jirani yangu, Mbagala hukuWasuaso wameanza kuharibu uzi.
Wao hawapaswi kukamata watu bila kibali iwe vizuriSasa mbona mmemkamata yule mwenye MBW X6 vizuri tu? Kwanini hao watumishi wasingetumia mbinu ya kwenda kumkata pasipo kuzua taharuki kama mlivyomkamata jana? Mmesababisha foleni isiyo na msingi kwa kublock njia na hasara kwa mali za serikali.
Sasa unamfokea nani!!??Hao raia wenye hasira Kali walikua wapi wakati wa mzee Kibao, big Tarimo, Nondo nk waliotekwa kweupe kabisa huku wakiomba msaada? Wanaua watu wanaojua fika sio watekaji huu ni upumbavu wa mitanganyika.
Kifo ni kifo tu, hata nchi zilizoendelea wanakufaView attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
KIFO NI KIFO TU
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣CC: Saa100
Na Bado wananchi ndio wameanza.Mjifunze ehee mtakwisha