TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

RIP kijana wetu.
Jukumu la kukamata raia sio la TRA, walitakiwa watumie polisi kufanya kazi zao. Wao kazi yao ni kukusanya kodi, sio kukamata wahalifu wakwepa kodi!
Umezisoma Sheria zote zinazofanyakazi Tanzania ukagundua hakuna Sheria inayowaruhusu kukamata.
Ujuaji ni mzigo.
 
Hii inamaanisha wananchi wamekosa ulinzi na wameanza kujilinda. Serikali hii no mbaya sana wananchi wakiwa unsecure watafanya mengi ya dizaini hii. Acheni kuteka teka watu na magari ya serikali alafu wanakutwa wamekufa huko. Mambo km haya yatakuwa mengi shauri yenu.
 
Pole zao. Wafute misingi, kanuni za kazi zao.
 
Hao walitaka rushwa tu
Nyakati hizi wavamie watu
Kwa utaratibu wasijiende ovyo
Ovyo

Ova
Of course ukienda hovyo unakuwa huna tofauti na mhalifu yoyote yule.

Muhimu vyombo vya serikali kama Usalama wa Taifa, polisi, TRA, mgambo kufuata ,taratibu, kanuni, misingi za kazi zao na kujitenganisha na vyombo vya wahuni, majambazi wahalifu wengine
 
Aliyemtuma na kumpa kazi ya kipolisi nae sheria imfuate.. TRA wanapitia depo gani kukmata raia wanaopigania kupata mlo wao kwa jasho watambue hilo kwanza pumbavu
 
TRA already learn in a hard way.

sasa tunasubiri hawa polisi wanaokuja kichwakichwa
polisi wananusa sana mazingira waliyopo wakiona raia zinakuja km siafu hutawaona hao polisi. wanapotea chapu. jamaa hawafi kijinga wako kimkakati sana hawa wamba.🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…