ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,971
- 4,440
Bado wale wenye tabia kama hiyo ya kuteka watu hovyo.Two wrongs don't make it right. Waliohusika washughulikiwe. Apumzike kwa amani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado wale wenye tabia kama hiyo ya kuteka watu hovyo.Two wrongs don't make it right. Waliohusika washughulikiwe. Apumzike kwa amani
I see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njemaNimesikia huruma sana kwa huyu dogo,kuna kitu kinaniambia kwanini ajali ya wabunge wa ccm waliopata ajali asubuhi hawakuondoka angalao saba kufidia roho ya huyu?
Maana kugonga gonga meza hovyo huku sheria za hovyo zikipitishwa ndiko kulikozusha kifo cha huyu kijana.
Ukidavirwa unapigwa mawe mpaka ukome Wananchi hawana manati ya Mzungu ila maandazi ya Mungu hayauzwi ni bureuhuni wa watu kutekwa utapungua
Hatari hatari sana.View attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Watapigwa mawe wasichezee Wananchi waliogubikwa ba hasiraTRA already learn in a hard way.
sasa tunasubiri hawa polisi wanaokuja kichwakichwa
Hawarudii tena hapo bado zamu ya wale wanaokuja na pingu kutisha watu kwamba wao ni polisi wamemfuata mtu waoUkamataji gani wa kuvizia sasa nyie TRA
Aligonga bodaboda zilizo-block gari yao kwa nyuma hapo ndipo alipoamsha hasira za Wananchi angetulia wala yasingemkuta makuuI see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
Na polisi nao wakija namna gani hawaeleweki nao wataipata simulizi yao vile vile wajirekebishe la sivyo watachezea mawe watu washavurugwaRIP kijana wetu.
Jukumu la kukamata raia sio la TRA, walitakiwa watumie polisi kufanya kazi zao. Wao kazi yao ni kukusanya kodi, sio kukamata wahalifu wakwepa kodi!
Intention ilikua ni kuleta madhara ndo maana hadi gari imeharibiwa kwahiyo hiyo ni murder, ingekua utetezi wa kuua ni rahisi kiasi hicho basi kila mtu angeshtakiwa kwa manslaughter unasema tu mi niliamka asubuhi nikiwa sina lengo la kuuaMurder kivipi kwani walitoka nyumbani wakikusudia kuua
Utamkamata nani kwa mfano kwa ushahidi gani labda, watu wamerusha vitofa wamepotea wewe unaenda kumkamata nani?Uzembe na uzururaji
Ipo haja ya kurudi mezani kujipanga upya kushughulikia masuala nyeti ya jamii kwa kutumia akili na teknolojia zaidi badala ya mabavu na jeuriView attachment 3170823
=============
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
haya yote uliyoandika ya nini!I see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
Labda wamkamate huyo ndevu mwenye mtaa wakeUtamkamata nani kwa mfano kwa ushahidi gani labda, watu wamerusha vitofa wamepotea wewe unaenda kumkamata nani?