TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

Nimesikia huruma sana kwa huyu dogo,kuna kitu kinaniambia kwanini ajali ya wabunge wa ccm waliopata ajali asubuhi hawakuondoka angalao saba kufidia roho ya huyu?

Maana kugonga gonga meza hovyo huku sheria za hovyo zikipitishwa ndiko kulikozusha kifo cha huyu kijana.
I see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
 
View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Hatari hatari sana.
 
I see, namfahamu huyu kijana ..alipita SUA Morogoro..baadae nikawa namuona na magari ya maji ya Kilimanjaro..nadhani alikuwa upande wa Sales.tukapotezana kipindi..dah alikuwa mtu mstaarabu na mpiganaji.. Lala salama Simbayaooo! ..tutaonana asubuhi iliyo njema
Aligonga bodaboda zilizo-block gari yao kwa nyuma hapo ndipo alipoamsha hasira za Wananchi angetulia wala yasingemkuta makuu

RIP Marehemu
 
View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
Ipo haja ya kurudi mezani kujipanga upya kushughulikia masuala nyeti ya jamii kwa kutumia akili na teknolojia zaidi badala ya mabavu na jeuri
 
Back
Top Bottom