TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

RIP ila mengine ni kujitakia
Kwani Polisi wa kufanya ukamataji hawakuwepo???
 
Kwenye ”mob justice” utamkamata nani utamwacha nani?nadhani Samia atakuwa anajua zaidi maana alisema duniani kote mambo haya yanatokea siyo kwenye serikali yake tu.

Apumzike kwa amani japo kwa damu yake atakuwa amefungua njia kwa mamlaka za kiserikali kufanya kazi kwa kufuata taratibu na weledi,uhuni wa watu kutekwa utapungua pia.
Kweli kabisa, wajifunze uhuni wa kutekana uishe bhana!! Mi nawapongeza wananchi waliochukua hatua ya kujilinda!! Maana jeshi la police limeshindwa kutulinda!! Wao wanalinda masilahi ya CCM.
 
Waje kuniteka nimekaa pale.

Kumuua mtu asiyehusika haisaidii lolote.
Ndiyo walewale, wangefanikiwa kumteka huyo mmiliki wa X6 ungesikia ni wasiojulikana. Muuaji kauawa so it's all well and good, people are bloody tired with these murderers.
Hiyo spin mliyokuja nayo eti ni TRA employee you know what? I don't buy that shit, go and tell it to the birds.
NB: Operation za TRA zinapaswa kuwa na escort ya polisi waliovaa sare rasmi, ndiyo sheria ilivyo otherwise ni yaleyale majambazi AKA wasiojulikana.
 
IMG-20241207-WA0004.jpg

Serikali isikie vilio vya wananchi.
Hili sakata la utekaji halijashughulikiwa kikamilifu.
Hakuna kiongozi wa juu aliyekemea utekaji na mambo kama hayo.

Juzi wananchi wamejichukulia sheria mkononi, mimi siwalaumu.

Serikali isahihishe utendaji w vyombo vyake ili kuwanusuru wafanyakazi wake.
 
View attachment 3171029
Serikali isikie vilio vya wananchi.
Hili sakata la utekaji halijashughulikiwa kikamilifu.
Hakuna kiongozi wa juu aliyekemea utekaji na mambo kama hayo.

Juzi wananchi wamejichukulia sheria mkononi, mimi siwalaumu.

Serikali isahihishe utendaji w vyombo vyake ili kuwanusuru wafanyakazi wake.
Hakuna hasara mwajiri au serikali inaweza ikapata kwa wafanyakazi wake kufa kivyovyote, nafasi zikibaki wazi zitatangazwa na zitagombewa kujazwa.
 
Ndiyo walewale, wangefanikiwa kumteka huyo mmiliki wa X6 ungesikia ni wasiojulikana. Muuaji kauawa so it's all well and good, people are bloody tired with these murderers.
Hiyo spin mliyokuja nayo eti ni TRA employee you know what? I don't buy that shit, go and tell it to the birds.
NB: Operation za TRA zinapaswa kuwa na escort ya polisi waliovaa sare rasmi, ndiyo sheria ilivyo otherwise ni yaleyale majambazi AKA wasiojulikana.
Wanawachomoaga hela tu
Hayo majukumu yanakuwa yao binafsi
Ila kwa tukio lile la tegeta TRA mnala kujifunza,sahv hali ishakuwa mbaya wananchi washavurugwaaaa

Ova
 
Mtu kavaa tisheti na kapelo unajiuliza alikuwa kitengo gani? Mbona hamjiongezi wazee 😂😂😂
Kuna wasio na akili wanaamini kabisa eti huyo dogo alikuwa muajiriwa wa TRA,mtekaji kauawa wanakuja na twists zao wanadhani watu wote hawana uwezo wa kuusoma mchezo na kuubaini. We ain't fools.
 
Back
Top Bottom