TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

TANZIA TRA inatangaza kifo cha mtumishi wao, Amani Simbayao kilichotokea leo 06/12/2024

Za chini chini sio mtumishi wa tra,ni moja ya wasiojulikana bt tra wametumika kucover.
Hilo liko wazi.
Wakipigwa picha au kurekodiwa wanatoa ufafanuzi feki kama ule WA Bonge Kiluvya, Lusako na hiyo ya Kwa ndevu.😔
Kukiwa hakuna ushahidi wanaua kama Mzee Kibao au kupiga kimya kama ya Akina Nondo. Wala huhitaji D mbili kujua kuwa Serikali ndio inayoteka na kuua.😭😭😭
 
View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.
REST IN HELL
 
Wananchi wamechoka na huu utekaji. Ona sasa kijana wa watu ameuwawa bure kwasababu wa wapuuz wanaoteka raia. Rais inabidi achukue notes apa achukue hatua
Kwa Hali ilivyo SASA wala huwezi kujua kama na yeye alikuwa anaenda kuua ndio akauawa 🤷Serikali hii ilikofikia siko😔😔
 
Kwenye ”mob justice” utamkamata nani utamwacha nani?nadhani Samia atakuwa anajua zaidi maana alisema duniani kote mambo haya yanatokea siyo kwenye serikali yake tu.

Apumzike kwa amani japo kwa damu yake atakuwa amefungua njia kwa mamlaka za kiserikali kufanya kazi kwa kufuata taratibu na weledi,uhuni wa watu kutekwa utapungua pia.
Mkuu umenifanya nicheke sana
 
View attachment 3170823
=============

Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), inasikitika na kutoa pole kwa familia na ndugu na jamaa kutokana na kifo cha mtumishi wetu wa TRA, Bw. AMANI Kamguna Simbayao kilichotokea leo mchana wa tarehe 06 Desemba 2024 katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikolazwa baada ya tukio la shambolic akiwa katika majikumu yake ya kikazi kwa maslahi ya Taifa katika eneo la Tegeta kwa Ndevu jijini Dar Es Salaam. Tunatarajia wahusika wote watafikishwa kwenye vyombo vya sheria. Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi.

Je, Watu hao kweli walikuwa Ni Maafisa wa Forodha wa TRA au Undercovers wa Abduction Squad ambao wamekuwa infiltrated ndani ya TRA ili to conceal their real identities in their illicit activities??? Siyo kwamba hivyo vyeo vya huko TRA vinatumika tu kama 'Cover' ya hizo kazi zao za Siri?
Siyo kwamba hilo lilikuwa jaribio la utekaji lililofeli? Not a failed attempt of abduction?

They reap what they sow!

Walipaswa kusoma alama za nyakati!
 
Hili nalo neno....hapa ni mwendo wa jino kwa jino au sio
Hata Mungu alipowatoa wanaisraeli misri misiba ilikua mpaka kwenye mlango wa Farao ndiyo Farao akaruhusu watu waondoke. Mfano mzuri ni huu bahati mbaya tu ni tra. Lakini vilio vinasikika kila Kona na matamko sababu msiba upo milangoni kwao. Lakini misiba ya kwenye milango ya watekwaji tu utosikia matamko ya kulaani Wala maagizo siriaz ya wakamatwe haraka.
 
Back
Top Bottom