Artifact Collector
JF-Expert Member
- Mar 7, 2019
- 6,617
- 10,205
Wanautajiri wa-kutisha ambao hauna maelezo yaliyonyookaKuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Na hakuna wakuwaulizaa mkuu [emoji23] .Wanautajiri wa-kutisha ambao hauna maelezo yaliyonyooka
Kamba zao ndefu sanaTRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa
Mi-mtu anayekwepa kodi nampongezaMungu anawaona wale , Yani kama unalipa kodi purely ukiona palivo kule utajikatia tamaa
TBS Hali ipoje!Kuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Sijui kuhusu hilo lakini hata kama akitoa inarudi kwa muda mfupi tu , mtu kanasa kontena halieleweki sio sawa trafiki"Nasikia, eti" wanahonga hadi 10m ili wapate kazi huko.
Wanasemaa mama anaupiga mwingi mkuu[emoji23][emoji23]TBS Hali ipoje!
Inaliwa na watu wachache huku wengi wakitaabikaHii nchi inaliwa sana..Africa hamna uongozi kuna wajaza nafasi..bora mzungu awe rais na mawaziri pia wawe wazungu..tutatoboa
Makapuku wenyewe ndiyo wanashawishi kuwapa rushwa. Nimefanya kazi sekta ya mapato. Ninajua!Na hakuna wakuwaulizaa mkuu [emoji23] .
Cc makapuku ukiulizaa nani anakusikilizaa ss.
Hilo ghorofa kubwa linalojengwa hapo Mugabe ni la nani?Huku Sinza sijui kuna upepo gani jamanii watu wanavuliwa nyumba tu jamanii pesa ipo kwa wachache ππ»ππ»
Sidhani kama kuna kapuku anayemiliki biashara yeyote ileMakapuku wenyewe ndiyo wanashawishi kuwapa rushwa. Nimefanya kazi sekta ya mapato. Ninajua!