Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inategemea na kitengo mkuu kuna watu wapo TRA ila wanatesekaSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa
Labda uwe TRA mfagiaji na mtunza bustaniinategemea na kitengo mkuu kuna watu wapo TRA ila wanateseka
Wenye pesa zao dadekiiiHilo ghorofa kubwa linalojengwa hapo Mugabe ni la nani?
Jamaa walimvua mtu nyumba kibabe. Inasemekana mwenye nyumba alichukua mkopo kwao halafu akashindwa kulipaWenye pesa zao dadekiii
Wewe wasemaSidhani kama kuna kapuku anayemiliki biashara yeyote ile
KumbeMakapuku wenyewe ndiyo wanashawishi kuwapa rushwa. Nimefanya kazi sekta ya mapato. Ninajua!
Umejuaje?Hii nchi inaliwa sana..Africa hamna uongozi kuna wajaza nafasi..bora mzungu awe rais na mawaziri pia wawe wazungu..tutatoboa
YahAtakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Uku kwetu hata dereva wa TRA anakamata mzigo usio na risiti, sijui mamlaka katoa wap?Labda uwe TRA mfagiaji na mtunza bustani
TRA hatakama haupo kitengo cha fedha kuna connection kubwa sana
Hawa jamaa sio tu kwa SSH hata awamu zingine wamekula sana maishaKuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Tukwepe kulipa kodi tu kilichobakiSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa
Heri kubadilike mana kuna mitaa sinza nyumba nyingi zimechokaHuku Sinza sijui kuna upepo gani jamanii watu wanavuliwa nyumba tu jamanii pesa ipo kwa wachache [emoji1316][emoji1316]
Ni kweli mkuu ni mwendo wa Maghorofa tuHeri kubadilike mana kuna mitaa sinza nyumba nyingi zimechoka
Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa