Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio chai!?Seen
duu aisee pole yake kisukari na hela alizo nazo mbona ataona ni takatakaaaMtu mshahara mln 3,4 lakini Ana mamilion ya feza
Kuna jamaa mmoja yuko huko anakuambia yeye mshahara wake haugusi anaishi kwa pesa za dili tu
Ila sasa hivi karibuni kisukari kimemtandika kwerikweri
Ova
Kamba yenyewe manati haina mwisho wa kuvutikakwa urefu wa kamba, isizidi tu kamba
Sio watu wote wezi wapo wasioiba kabisa ila % kubwa ni wezi ndio maana wanafunikwa na wachache wasio wezi..mbongo hata ukimuweka akuuzie dukalako lamtaji walaki tano lazima akuibie miamia au hamsini hamsini.
hakuna mbongo ámbae haibi kazini hasa Sisi wadar mikoani sijui lakini dar mfanyakazi lazima aibe
ukiona ámbae haibi uje ofisi niyakwake hilo kwahiyo hawezi kujiibia
balaa sanaKamba yenyewe manati haina mwisho wa kuvutika
Very trueSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
hawatakosa wa kuwatetea kuanzia machawa, slay kwini, ndugu zao wanakwaya, wazee wq kanisa na watetez wa haki za binqdamu, wanajamiifolam uchwara wote watasema wanaonewaAtakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Niliwahi kufanya kazi na dada mmoja dukani Mbeya(Mwanjelwa) alikua aibi aisee alikua na hofu ya Mungu sana yaani mfanyakazi alilifanya Duka kama lake hasara hapendi kusikia alikuja kuolewa na Eng mmoja huko huko kusini...nimefanya kazi na vijana wengi nina uzoefu nao ndio maana huyo kabaki kama mfano..mkuu mbongo ukimwajiri sehemu yoyote lazima atengeneze mazingira yakuiba tuu.
Ukweli usemwe.... nina rafiki yangu tumehuSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa
Ukitoa biasharaJambo usilolijua ni kama usiku wa giza
Aisee.....Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Ni suala la muda tu system inakuja.Serikali inatafuta sumu Kali kukomesha upigaji TRA Yani ikikamilika TRA na Halmashauri Ngoma droo