myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Ndio wenyewe...Uku kwetu hata dereva wa TRA anakamata mzigo usio na risiti, sijui mamlaka katoa wap?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio wenyewe...Uku kwetu hata dereva wa TRA anakamata mzigo usio na risiti, sijui mamlaka katoa wap?
Kuna kahasira kalikochanganyikana na wivu hapa hahaha.Ukweli usemwe.... nina rafiki yangu tumehu
itimu wote chuo.. mm nilisomea faculty X yeye alisomea mambo ya Pesa.. mimi niliwah kupa job.. yeye kaka kama miaka mitatu tu mtaa.. sasa yaye ni mwaka w pili kazini saivi jamaa ana usafiri af anapost mashamba ya mpunga tu... mimi mwaka wa 6 huu kazin hata usafiri sifikirii
Waseme tu...ni chuki. Ila kuna ukweli.Je wakisema unasukumwa na husuda kama si chuki ?!
Ni wivu sawa...ILA NI KWELI.Kuna kahasira kalikochanganyikana na wivu hapa hahaha.
Tatizo la wivu wa aina hii ni kuwa inakutoa mchezoni. Inawezekana kabisa kainvest pesa halali, miaka miwili kazini kununua gari inawezekana kupitia Saccos, kulima mpunga haihitaji mamilioni.Ni wivu sawa...ILA NI KWELI.
TANZANIA YETU 🇹🇿
InawezekanaTatizo la wivu wa aina hii ni kuwa inakutoa mchezoni. Inawezekana kabisa kainvest pesa halali, miaka miwili kazini kununua gari inawezekana kupitia Saccos, kulima mpunga haihitaji mamilioni.
Kuna dogo kashusha apartment kibao kisasaSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Maisha sio marahisi hivyoTatizo la wivu wa aina hii ni kuwa inakutoa mchezoni. Inawezekana kabisa kainvest pesa halali, miaka miwili kazini kununua gari inawezekana kupitia Saccos, kulima mpunga haihitaji mamilioni.
Wengi wao wanaishi extra-vagant life styleKuna dogo kashusha apartment kibao kisasa
Kweli inategemea na kitengo. Kwa mtu ambae hajawahi kufanya hapo TRA hawezi kuelewa hili. Kuna ma HR na watu wa Planning hapo TRA wana maisha ya kawaida sana. Maisha ya kutegemea posho na mshahara huwezi kuwa na ukwasi anaosemea mtoa mada.inategemea na kitengo mkuu kuna watu wapo TRA ila wanateseka
kuna mmoja ndo zake pale **********. yeye anapigaga tik-tak mishindoyake kufuta milioni 10 kwa ajili ya milion 3 haon tabu. wanazipiga kwa kweliWamentandika Offense ya kukosa EFD machine Ofisini, Number inasoma 3m
Nimeenda TRA afisa ananiambia nipe 500k nifute mzigo wote...
or else nikutolee control number yako ukalipie.
Mimi ni nani niache kumpa 500k yake nipite zangu hiviiii...
Kwann wasiwe ma bilionea mtu anaingiza 500k na zaidi kwa siku kwa desk Job... to Hell T R A
Non sense hicho kitengo ndo hawana hela kabisaKijana wa TRA kitengo cha Audit.
Maisha sio marahisi hivyo
Yangekua marahisi hivyo mbona karibia kila mtu ana-maisha mazuri
Simple...chemsha maharage, chemsha viazi vitamu, chemsha mayai, changanya vyote halafu ule.msaada jaman anayejua jinsi ya kutengeneza bomu la kienyeji linaloweza kulipua nchi..
Lakini ni tangu enzi na enziWengi wao wanaishi extra-vagant life style