talnam
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,451
- 2,830
Uko sahihi. Ni kweli wanapata hela sana. Lakini pia hawakai sana kazini. Kiwango cha kuachishwa kazi TRA ni kikubwa kuliko taasisi nyingine yeyote. Wanajenga mjumba ya kuishi kwa mbwembwe. Kazi zikiisha wanashindwa kabisa kiyahudumia majumba hayo.
Hii ndo risk yao
Muda wowote unasikia anahudhuria mahakaman ka freziwa ma acc. Ila hii huwa wanachomana labda