The Eric
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 6,446
- 10,976
Mbona umecheka au umeolewa na mchaggaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona umecheka au umeolewa na mchaggaa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hapanaa [emoji23][emoji23][emoji23]Mbona umecheka au umeolewa na mchaggaa.
Hamna kitu mzee..polisi bado sana...maisha magumuPolisi kuna vitengo vingi ambavyo vina hela TRA wanasubiri
polisi wa kawaida tu mwenye elimu ya form 4, traffic barabarani ana uhakika wa kutengeneza hela kila siku ambayo mtu mwenye elimu kama yake TRA haitengenezi.
sasa jaribu kuwaza ma bosi wa Polisi wanatengeneza kiasi gani
umeshawai kuwaza wale mapolisi watoa leseni za madereva mapato yao ya kila siku
Njoo nikuoe, niwe mchagga wa kwanza kuoa mngoni, kigezo uwe ke.😅😅Hapanaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Nataka mkuu pale TPAKuna mtu anataka kazi TRA ??
Huko ndo untouchable, hata kupazungumzia ni kosaVipi kuhusu BOT
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .
Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..
Ni kwa sababu ya milolongo isiyo na tijaMakapuku wenyewe ndiyo wanashawishi kuwapa rushwa. Nimefanya kazi sekta ya mapato. Ninajua!
Hii nchi heri angeendelea kutawala mzungu tuUtajiri ambao hauendani na mshahara, narudia tena yani katika kitu ambacho kinaniumiza akili ni mzungu kutupa uhuru mapema na kutuacha tujitawale wenyewe
Sent from my SM-A105F using JamiiForums mobile app
Wapo busy kujaza mashavu yaohivi mgulu mchemba madiluu hawaoni? me nashangaa sana
La marehemu MugabeHilo ghorofa kubwa linalojengwa hapo Mugabe ni la nani?
Siyo watu wote wezi Mkuu.mbongo hata ukimuweka akuuzie dukalako lamtaji walaki tano lazima akuibie miamia au hamsini hamsini.
hakuna mbongo ámbae haibi kazini hasa Sisi wadar mikoani sijui lakini dar mfanyakazi lazima aibe
ukiona ámbae haibi uje ofisi niyakwake hilo kwahiyo hawezi kujiibia
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huko ni pesa za wizi na kifisadi tu.
Tanzania bila sheria za watu kupigwa risasi hadharani wizi na ufisadi serikalini hautaisha.
Nimewahiwa na mpare, [emoji23][emoji23][emoji23]Njoo nikuoe, niwe mchagga wa kwanza kuoa mngoni, kigezo uwe ke.[emoji28][emoji28]
😅😅😅 kizuri kula na mtani wakoNimewahiwa na mpare, [emoji23][emoji23][emoji23]
Huna aikili Mkuu 😀La marehemu Mugabe
Wewe ni kaka mkandarasi kama sikosei , vipi unaendeleaje, Kuna wakati ulitisimulia Mapito yako mazito hapa jukwaani.....Nina kijana alikuwa akifanya kazi kwangu mwaka juzi aliajiriwa ni miaka miwili sasa lakini keshajenga na anamiliki usafiri wa millioni 250