The only
JF-Expert Member
- May 19, 2011
- 10,805
- 14,181
Hapa utafikili ww ukiajiliwa tra ndo utakiwa malaikaMishahara yenu inawatosha kuishi maisha mazuri ya raha mstareha na hakuna mtu anasemea hilo! Hapa kinachoongelewa ni wizi wa kutisha wa rushwa za kuangamiza taifa na tayari mikono yenu inanuka damu!