TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

Uko sahihi. Ni kweli wanapata hela sana. Lakini pia hawakai sana kazini. Kiwango cha kuachishwa kazi TRA ni kikubwa kuliko taasisi nyingine yeyote. Wanajenga mjumba ya kuishi kwa mbwembwe. Kazi zikiisha wanashindwa kabisa kiyahudumia majumba hayo.

Hii ndo risk yao
Muda wowote unasikia anahudhuria mahakaman ka freziwa ma acc. Ila hii huwa wanachomana labda
 
True
..tena urefu wa kamba zao za malisho ni refu kabisa hasa wale vigogo. Na hivi rais mwenyewe karuhusu kila mtumishi wa umma ale kwa urefu wa kamba yake basi kwa TRA wao maisha ni sikukuu kila siku.😂
 
🤣🤣🤣
 

Kudai kodi Tanzania kuna faida kuliko kufanya biashara.

Maana ni mwendo wa rushwa kwa kwenda mbele
 
Halalfu yule mama na mdomo wake anakomaa tulipe kodi kizalendo
 
Kuna jamaa yupo hapo bandari mwana anapiga aiseee ana shusha magorofa tu [emoji23] uku anasemaa hawamu hii ikipitaa ijayo haijulikan itakuwajee hvyo acha tupigee tu .

Anakauli yake ya mama anaupiga mwingi..

Mama anaupiga mwingi sana 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…