Hapa utafikili ww ukiajiliwa tra ndo utakiwa malaikaMishahara yenu inawatosha kuishi maisha mazuri ya raha mstareha na hakuna mtu anasemea hilo! Hapa kinachoongelewa ni wizi wa kutisha wa rushwa za kuangamiza taifa na tayari mikono yenu inanuka damu!
Poa bossL
Nikweli... but wivu wa maendeleo mkuu... Lakini Gari sio kipaumbele changu kwa sasa..
AWAMU YA UPIGAJI nchi imepoteza dira na usimamizi wa Fedha za Umma Wasimamizi nao WapigajiSina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover
Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire
Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Kabisa mkuu, unajua tatizo huanzia vyuoni watu wanapoishi kama vile wanafanana. Wote mpo hostel, wote labda mna pesa za mkopo, mnafanana kwa kila namna ila mnasahau kuwa background ni tofauti, mkitoka chuo ndo utofauti unaanza kuonekana baada ya kuchagua mtindo wa maisha.Thank you. Watu wengi wamejaa wivu kuliko uhalisia.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ngoja wale ndugu zangu pale uchaggani waje mwezi wa 12 niwaombe hata pesa ya soda, ila wale mafala wanaye pesa mbwa kabisa....... wake zao eti wanatembelea bmw......wao sasa range, landrover discovery.
Uchaggani nikifika napendaga kujifungia staki dharau dharau, kusaidia kushusha mabegi kwenye boot za watu na sehemu wamekaa wanakunywa hennesy na JD zao wanavimaswali uchwara [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Haya bhana.Hamna maendeleo ya kutisha hapo, ni maisha ya kati.
Maendeleo ya kutisha unayajua ww? Billionare unawajua ww?
Kufikia ukwasi wa billion si rahis kama unavyodhani. Billion si millions kuna gape kubwa sana
Nilicho kiandika na ulichojibu ni tofauti, labda umekosea ku reply.Acheni wivu madogo wana mishahara mikubwa sasa mtu analipwa 2mil akingia kazi anapanga nyumba ya laki 5 kwa mwezi kisha anavuta mkopo mil 50 .25 anavuta harrier kisha 25 anavuta kiwanja goba miaka mitano mkopo umeisja nshahara wao unapanda mi 3 anavuta mil 100 anajiongeza na vibiashara vyake ghorofa imeisha .kama inawauma mwambieni mama samia ashushe mishahara yao .WABONGO TUPENDANE
unadhani kwa tend hii masisiemu watakubali kumweka madarakani mtu mwenye msimamo kama marehemu jiwe?, never again.Atakapokuja kiongozi kuwapukutisha account zao naomba kelele zisiwe nyingi
Itakua mkuuNilicho kiandika na ulichojibu ni tofauti, labda umekosea ku reply.
Huko ni pesa za wizi na kifisadi tu.
Tanzania bila sheria za watu kupigwa risasi hadharani wizi na ufisadi serikalini hautaisha.
Siku Hz haitrend sana Sijui kwannTBS Hali ipoje!
Majizi hawawezi kujitungia sheria ya kujiangamiza wenyewe,walishaambiwa wale wasivimbiwe.Huko ni pesa za wizi na kifisadi tu.
Tanzania bila sheria za watu kupigwa risasi hadharani wizi na ufisadi serikalini hautaisha.
Ila tuanze na wanao kwanzaHuko ni pesa za wizi na kifisadi tu.
Tanzania bila sheria za watu kupigwa risasi hadharani wizi na ufisadi serikalini hautaisha.
Unangoja nini?Ila tuanze na wanao kwanza
Polisi hawana maisha huwezi wafananisha na watu wa traPolisi kuna vitengo vingi ambavyo vina hela TRA wanasubiri
polisi wa kawaida tu mwenye elimu ya form 4, traffic barabarani ana uhakika wa kutengeneza hela kila siku ambayo mtu mwenye elimu kama yake TRA haitengenezi.
sasa jaribu kuwaza ma bosi wa Polisi wanatengeneza kiasi gani
umeshawai kuwaza wale mapolisi watoa leseni za madereva mapato yao ya kila siku
true isee hadi unajihisi unanuksi peke yako hela huna wenzako wanazimwaga tuu..Huku Sinza sijui kuna upepo gani jamanii watu wanavuliwa nyumba tu jamanii pesa ipo kwa wachache 🙌🏻🙌🏻