TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

TRA inazalisha mabilionea wengi kupitia wafanyakazi wake

Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover

Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire

Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
noma sanq wale jamaa
 
Tanzania haiwezi kuendelea kwasababu ya rushwa za TRA stuff kwenye makadirio ya kodi. It will never happen
 
Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover

Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire

Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Mtu akipata kazi TRA basi huyo tayari kashatoboa kimaisha
 
Huko bandarini ndy kumeoza kabisa,,

Kuna siku nillimsindikiza mwanangu mmoja kwenda kumwona boss mmoja hivi jina kapuni,
.basi jamaa vile anaaga ili tuondoke,boss akavuta droo jamaa akafinyiwa $300 za nauli.,

AISEE nikasema kama jamaa kapewa $300 za nauli na hakuomba je angetangaza shida angepewa sh ngp?
. ebwana bandarini Kwa Sasa pesa inapigwa hatari sn..
Mfanyakazi wa serikali kumiliki mali za mabilioni ndy anaonekana ana akili za maisha.
 
Sina chuki na wafanyakazi wa TRA bali naongelea uhalisia
TRA ndo inayoongoza kuzalisha mabillionnaire wengi vijana wadogo wanamiaka michache kazini wanamiliki utajiri wa kutishi magari ya kifahari na mahekalu na wafanyakazi wa TRA weekdays anaenda na gari la kawaida mfano wa ict alafu weekend mlimani city unamuona na range rover

Kwa sasa-hivi mabillionaire TRA ni jambo la kawaida na miaka ijayo kwa trend hii TRA kupitia wafanyakazi wake watatoa trillionaire

Kama unataka kuwa billionnaire na baadae trillionnaire pambana uingie TRA kama mfanyakazi kule hutumii nguvu kabisa ni mwendo wa kuiba
Tena ni majizi haswaaa kuna kajamaa hakana hata nyama kimsingi hakajai mkononi kanatumia special Number nikajiuliza hivi haka ni kafanyabiashara kakubwa ama kumbe ni wala kodi zetu, udhibiti wa mapato bongo hamna kwani wanaokusanya wanakusanyia matumboni mwao.
 
Back
Top Bottom