TRA Kuanza Kuzitoza Kodi, Facebook, Instagram na Whatsapp
A very sad aspect as other countries want to push the digital media world so that we humans interact, understand and progress further..
 
Wangeanzisha kodi ya kutumia hewa kuna mapato mengi hapo
 
Tanzania kuanza kutoza kodi kwa wafanyabiashara Facebook, Instagram


Serikali ya Tanzania inaendelea na mchakato wa kuandaa utaratibu wa kutoza kodi watumiaji wote wa mitandao ya kidijitali ambao wanafanya biashara bila ya kulipa tozo hiyo halali ya umma.

Hatua hii inakuja siku moja baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuanza majadiliano na Kampuni ya Meta inayomiliki mitandao ya Facebook, Instagram na WhatsApp kwa lengo la kuanza kukusanya kodi katika zitokanazo huduma zake nchini.

Akizungumza na BBC jijini Dar es Salaam,Richard Kayombo ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo, alisema kuwa zoezi hilo litakapokamilika, kodi hiyo haitatozwa kwa wale wanaotumia mitandao kwa matumizi yasiyoingiza kipato.

“ Watanzania wawe watulivu, hatutawatoza watu ambao hawafanyi biashara mitandaoni. Sisi tutakaowatoza hapo mbeleni ni wale wanaofanya biashara kwenye mitandaona ndio maana timu ya wataalamu wa Kampuni ya Metawaimefanya mazungumzo ya awali na TRA kuhusu namna ya kutoza kodi katika huduma zao nchini,” Kayombo ameeleza na kuongeza kuwa;

“Baada ya mazungumzo hayo ambayo Meta wametupa uzoefu wao katika kuchangia kodi kwenye nchi kama Kenya, Nigeria na Afrika Kusini, sasa Serikali inaendelea kuangalia upande wa sheria zetu ili tuone namna gani tunaweza kuanza kukusanya kodi kwa wale wanaofanya biashara mitandaoni.’

Mpaka Desemba 2021,Tanzania ina watumiaji zaidi ya milioni 29 wanaotumia intaneti.
Chanzo: BBC Swahili
 
Kwahiyo Kwa sisi wenye tuduka twa Mavazi , tunatumia Mitandao ya Kijamii kutafuta wateja.


TRA tutalipa Mara mbili pia??

Au Kodi inalenga Kijana mwenye Degree aliyekoswa Ajira, akafungua Akaunti Mitandaoni, akapata Wafuasi wengi, baadae akaona aanze kutumia Akaunti Kwa wanaohitaji kutangaz Biashara naye ??.

Hiii Kodi mnaipa jina gan?.


yaan Una Ofisi ,unalipa Kodi, Unaweka Bando ,unalipa Kodi, unaamua kuingia mtandao utangaze biashara ya Ofisi yako, Unalipa Kodi.



Wakati huohuo Kuna watu sahizi wanatorosha madini, Ufisadi maofisin sababu wameambiwa wale Kwa kamba .



HAYATI MAGUFULI ANGEKUA HAI, UJINGA KAMA HUU USINGEKUWEPO!!.
 
Kwahiyo Kwa sisi wenye tuduka twa Mavazi , tunatumia Mitandao ya Kijamii kutafuta wateja.


TRA tutalipa Mara mbili pia??

Au Kodi inalenga Kijana mwenye Degree aliyekoswa Ajira, akafungua Akaunti Mitandaoni, akapata Wafuasi wengi, baadae akaona aanze kutumia Akaunti Kwa wanaohitaji kutangaz Biashara naye ??.

Hiii Kodi mnaipa jina gan?.


yaan Una Ofisi ,unalipa Kodi, Unaweka Bando ,unalipa Kodi, unaamua kuingia mtandao utangaze biashara ya Ofisi yako, Unalipa Kodi.



Wakati huohuo Kuna watu sahizi wanatorosha madini, Ufisadi maofisin sababu wameambiwa wale Kwa kamba .



HAYATI MAGUFULI ANGEKUA HAI, UJINGA KAMA HUU USINGEKUWEPO!!.

Huyo Hayati Magufuli Aliifungia kabisa hiyo mitandao ya KIjamii, hakutaka hata kuisikia
 
Tanzania kuanza kutoza kodi kwa wafanyabiashara Facebook, Instagram.jpg


Serikali ya Tanzania inaendelea na mchakato wa kuandaa utaratibu wa kutoza kodi watumiaji wote wa mitandao ya kidijitali ambao wanafanya biashara bila ya kulipa tozo hiyo halali ya umma.

Hatua hii inakuja siku moja baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuanza majadiliano na Kampuni ya Meta inayomiliki mitandao ya Facebook, Instagram na WhatsApp kwa lengo la kuanza kukusanya kodi katika zitokanazo huduma zake nchini.

Akizungumza na BBC jijini Dar es Salaam,Richard Kayombo ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo, alisema kuwa zoezi hilo litakapokamilika, kodi hiyo haitatozwa kwa wale wanaotumia mitandao kwa matumizi yasiyoingiza kipato.

“ Watanzania wawe watulivu, hatutawatoza watu ambao hawafanyi biashara mitandaoni. Sisi tutakaowatoza hapo mbeleni ni wale wanaofanya biashara kwenye mitandaona ndio maana timu ya wataalamu wa Kampuni ya Metawaimefanya mazungumzo ya awali na TRA kuhusu namna ya kutoza kodi katika huduma zao nchini,” Kayombo ameeleza na kuongeza kuwa;

“Baada ya mazungumzo hayo ambayo Meta wametupa uzoefu wao katika kuchangia kodi kwenye nchi kama Kenya, Nigeria na Afrika Kusini, sasa Serikali inaendelea kuangalia upande wa sheria zetu ili tuone namna gani tunaweza kuanza kukusanya kodi kwa wale wanaofanya biashara mitandaoni.’
Mpaka Desemba 2021,Tanzania ina watumiaji zaidi ya milioni 29 wanaotumia intaneti.
chanzo. https://www.bbc.com/swahili/live/ha...62ad1ab1e16c43aefe6f19&pinned_post_type=share
 
Serikali ya Tanzania inaendelea na mchakato wa kuandaa utaratibu wa kutoza kodi watumiaji wote wa mitandao ya kidijitali ambao wanafanya biashara bila ya kulipa tozo hiyo halali ya umma.

Hatua hii inakuja siku moja baada ya Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuanza majadiliano na Kampuni ya Meta inayomiliki mitandao ya Facebook, Instagram na WhatsApp kwa lengo la kuanza kukusanya kodi katika zitokanazo huduma zake nchini.

Akizungumza na BBC jijini Dar es Salaam,Richard Kayombo ambaye ni Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipakodi wa mamlaka hiyo, alisema kuwa zoezi hilo litakapokamilika, kodi hiyo haitatozwa kwa wale wanaotumia mitandao kwa matumizi yasiyoingiza kipato.

“ Watanzania wawe watulivu, hatutawatoza watu ambao hawafanyi biashara mitandaoni. Sisi tutakaowatoza hapo mbeleni ni wale wanaofanya biashara kwenye mitandaona ndio maana timu ya wataalamu wa Kampuni ya Metawaimefanya mazungumzo ya awali na TRA kuhusu namna ya kutoza kodi katika huduma zao nchini,” Kayombo ameeleza na kuongeza kuwa;

“Baada ya mazungumzo hayo ambayo Meta wametupa uzoefu wao katika kuchangia kodi kwenye nchi kama Kenya, Nigeria na Afrika Kusini, sasa Serikali inaendelea kuangalia upande wa sheria zetu ili tuone namna gani tunaweza kuanza kukusanya kodi kwa wale wanaofanya biashara mitandaoni.’

Mpaka Desemba 2021,Tanzania ina watumiaji zaidi ya milioni 29 wanaotumia intaneti.
Chanzo BBC swahili.
 
huko tulisha waachiaga darasa la saba wawatizame kina zuchu
 
Back
Top Bottom