TRA kwenye kodi ya magari wanafanya "wizi" wa wazi kabisa

Ndo Mana wahuni wanafanya michongo wanaagiza gari kutoka Japan documents zote zinaonesha gari inaenda Zambia Ila hio cross change inayo fanywa hapo custom ngoma unarudi bongo inatafutiwa plate number maisha yanaendelea
 
Akili yako niyazamani sana.dunia ya leo unashindwa kujua gari ni kitu cha kawaida. Dunia ya leo gari sio ufahari au maisha mazuri bali ni huduma kama huduma zingine.
Nimemshangaa sana huyo Jomba na vidharau vya kishamba, sijui Mtu wa wapi huyo
 
Weyeee, Acha dharau na misifa...! Umewahi kukagua vizuri list na calculation za Import taxes kwenye system ya TRA?

Kwa mfano mimi huwa sioni sababu ya Excise Duty, na hata kama ipo unajua Bongo wanakuchaji % ngapi?
Kama huna pesa gari utaiweza? Pambana na bodaboda.
 
Tatizo vijana kuendesha bodaboda badala ya kufanya kazi za kujenga nchi kama kilimo tusafirishe bizaa.
 
Bado napingana na hii hoja yako,
ni hivi matumizi ya magari hayaishii kwenye anasa peke yake unatakiwa uchukulie upana zaidi hasa uzalishaji mfano unaweza kuta eneo flani watu wanapata changamoto ya usafiri hivyo ni gharama kwenda kupata huduma za kijamii na shughuli za kusafirisha mazao ama raw materials na kuadhiri msisimko wa uchumi.

uwepo wa magari mengi itachochea kupungua kwa gharama za usafirishaji na uchukuzi na kufanya wengi kujikita kwenye uzalishaji kwa maana wanauhakika wa kufikia soko mapema kwa urahisi.
kinachotakiwa ni ukaguzi wa ubora wa chombo kinachotakiwa kuingia nchini na aina ya gari (luxury).
kifupi hatuwezi linganisha na hoja za kfc hapa
 
Hapo sasa ndio umekuja Vizuri, Gari nyingi za Usafirishaji(Canter, coaster, Bus) Kodi yake ni ndogo kimsingi, isipokuwa bei yake huwa juu wengi huwa hawamudu Bei, you can try it kwa TRA calcultaor kuweka ivi vi-saloon na gari kama Isuzu carries, Fuso Etc na Buses sio kama saloon cars
 
Wizi umekaa kwenye excise duty due to age maana hakuna mantiki yoyote ile maana watu wengi wanaweza kununua magari ya zamani i.e 2000-2010 lakini ukija kwenye gari la kukaribia upya i.e 2015-2021 ushuru wake CIF bado ni kubwa sana
 
Mkuu wewe hauna unachokijua kwanza hakuna kodi ya parking bali ni tozo ile..pia lalamiko kuhusiana na parking ilikua hela inajiongeza kila siku lakini sasa hivi ukiandikiwa unapewa hadi miezi mitano ndo unalipia kwaio hata kama hio siku hauna hela utaja lipa ndani ya muda huo..swala hili haliondoi wizi wa serkikali kwa wananchi kwenye magari sababu hakuna kiwnda chochote kile kinacholindwa
 
Kitu ambacho hauelewi wewe ni kwamba watu hawalalamiki kulipoa ushuru bali ni method inayotumika kukokotoa ushuru wa hayo magari ndo tatizo...🤣🤣🤣
 
Wanafanya hivyo kuzuia dumping, bila hizo kodi hii nchi ingekuwa jalala la hayo magari used mbaya zaodi miundo mbinu yetu haiwezi himili magari mengi.

Tafuta pesa
Wangeweka sheria gari ya miaka fulani kurudi chini isiwepo, labda kusiwe na gari ya kuanzia mwaka 90 kurudi chini, nafiki yale mafiati ya madina hapa dar yasingekuwepo teeena
 

Gari gani mpya ambayo kodi ni 30% ya bei?
 
Taja gari moja mpya yenye kodi ndogo.
Huyo Ni kijana unakuta kamaliza Shule huko kijijini kaenda St Augustine University akitoka hapo anapata kazi TRA , matokeo yake ndio hayo.

Linakuwa jitu halijui Jambo lolote tofauti na maisha Yake ya Kijijin. Hana exposure yoyote hata namna Bei za magari zilivyo duniani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…