Heri ya sikukuu ya Muungano,
Nimewaza namna ya kila mwananchi kulipa kodi bila shurti.
Yani ni hivi.Ondoa cash mitaani then kila mwananchi alipie bidhaa kwa mitandao ya simu ( M pesa,halopesa,Tigo pesa,aitel money, ttcl pesa,nk) na mitandao ya bank ( simbaking).
I tell this is the only way kila mwananchi na mfanyabiashara watalipa kodi bila kulazimishwa. Wekeni miundombinu rafiki kwa mfano gharama au kutoa ziwe nafuu sana au iwe bure kabisa
Mkikataa hii lazima tushuke kutoka uchumi wakati.
Asanteni.
Ni mimi mwananchi mzalendo.
Nimewaza namna ya kila mwananchi kulipa kodi bila shurti.
Yani ni hivi.Ondoa cash mitaani then kila mwananchi alipie bidhaa kwa mitandao ya simu ( M pesa,halopesa,Tigo pesa,aitel money, ttcl pesa,nk) na mitandao ya bank ( simbaking).
I tell this is the only way kila mwananchi na mfanyabiashara watalipa kodi bila kulazimishwa. Wekeni miundombinu rafiki kwa mfano gharama au kutoa ziwe nafuu sana au iwe bure kabisa
Mkikataa hii lazima tushuke kutoka uchumi wakati.
Asanteni.
Ni mimi mwananchi mzalendo.