Rafikiwakwel
Member
- Aug 9, 2023
- 6
- 3
Bodaboda oyeeeeeeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mahitaji hayasimami, watu wanaongezeka na mahitaji yanaongezeka.Vyanzo vyote vya mapato mlivyonavyo haviwatoshi??
Wamekanusha bana japo wanasema sio rasmi. So tusubiri.Bodaboda mmesikia hii? Sasa rasmi mtaanza kulipa Kodi. Hapa Serikali mmechemka na mnawaonea Bodaboda, maana kupata 20,000 kwa siku ni kazi kubwa ila Nchi itajengwa na Watanzania wote.
----
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika mabadiliko ya Sheria za kodi mwaka 2023, serikali imeweka kodi ya mapato kwa wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki zenye magurudumu mawili (Bodaboda) ambapo watatakiwa kulipa kiasi cha Sh. 65,000 kwa Mwaka.
Hayo yamesemwa jana na Afisa mkuu wa usimamizi wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Hamad Mterry, wakati akiwasilisha mada ya mabadiliko ya sheria mbalimbali za kodi kwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu.
Mterry amesema kuwa hiyo ni moja ya sheria ya kodi ambayo ni mpya na imewagusa Bodaboda, ambapo watatakiwa kuichagia serikali kiasi cha Sh. 65,000 kwa mwaka, kuanzia mwaka huu wa fedha ambao tayari umeanza tangu Julai Mosi, 2023.
Afisa Mawasiliano na elimu kwa umma kutoka (TRA) Mkoa wa Simiyu, Benjamin John amesema kuwa Bodaboda anaweza kulipa kodi hiyo kwa awamu nne ndani ya mwaka, ambapo kila awamu atatakiwa kulipa Sh. 16,250.
Hata hivyo wafanyabiashara za kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) wanaona kodi hiyo inakwenda kuongeza ugumu wa maisha kwao, kutokana na kipato chao cha kila siku kuwa kidogo sana.
“ Ukizingatia kwa sasa kupata Sh. 10,000 kwa siku ni ngumu sana, lakini mafuta yamepanda bei, tunalipa LATRA, tunalipa Bima, bado familia inakutegemea, leo tumeletewa TRA, ukweli kodi hii inakwenda kutuumiza sana,” amesema Ntoni Deus.
My Take
Naunga mkono,Pia pombe na Sigara ziongezewe Kodi.View attachment 2714625
wamezoea vya bure hakuna haja ya kulalamika kuna watu wana biashara ndogo kuliko hata bajaji na wanalipa kodi vizuri tu bila shidaHamna cha lema wala nani kikubwa ni kulipa kodi tena wamehurumiwa wanatakiwa kulipa zaidi ya 365000
Wengine ni hawa bajaji za abiria
Bajaji za mizigo wote hawa wanapata hela bila kukatwa kodi
Usipolipa kodi maendeleo yatatoka wapi ?
wanawaandaa tuWamekanusha bana japo wanasema sio rasmi. So tusubiri.
Mahitaji hayasimami, watu wanaongezeka na mahitaji yanaongezeka.
Walitakiwa kutozwa kodi kubwa zaidi ya hii ili iwe fundisho waache kuishangilia CCM.Hiyo kodi ya 65000 Kwa mwaka ni sawa na shilingi 200 Kwa siku.
Ni kiwango kidogo mno lakini naamini wapotoshaji watakikuza sana na kuonesha uonevu.
Uzalendo ni kuhamasisha watu kulipa Kodi Kwa maendeleo yao.
Bodaboda mmesikia hii? Sasa rasmi mtaanza kulipa Kodi. Hapa Serikali mmechemka na mnawaonea Bodaboda, maana kupata 20,000 kwa siku ni kazi kubwa ila Nchi itajengwa na Watanzania wote.
----
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika mabadiliko ya Sheria za kodi mwaka 2023, serikali imeweka kodi ya mapato kwa wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki zenye magurudumu mawili (Bodaboda) ambapo watatakiwa kulipa kiasi cha Sh. 65,000 kwa Mwaka.
Hayo yamesemwa jana na Afisa mkuu wa usimamizi wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Hamad Mterry, wakati akiwasilisha mada ya mabadiliko ya sheria mbalimbali za kodi kwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu.
Mterry amesema kuwa hiyo ni moja ya sheria ya kodi ambayo ni mpya na imewagusa Bodaboda, ambapo watatakiwa kuichagia serikali kiasi cha Sh. 65,000 kwa mwaka, kuanzia mwaka huu wa fedha ambao tayari umeanza tangu Julai Mosi, 2023.
Afisa Mawasiliano na elimu kwa umma kutoka (TRA) Mkoa wa Simiyu, Benjamin John amesema kuwa Bodaboda anaweza kulipa kodi hiyo kwa awamu nne ndani ya mwaka, ambapo kila awamu atatakiwa kulipa Sh. 16,250.
Hata hivyo wafanyabiashara za kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) wanaona kodi hiyo inakwenda kuongeza ugumu wa maisha kwao, kutokana na kipato chao cha kila siku kuwa kidogo sana.
“ Ukizingatia kwa sasa kupata Sh. 10,000 kwa siku ni ngumu sana, lakini mafuta yamepanda bei, tunalipa LATRA, tunalipa Bima, bado familia inakutegemea, leo tumeletewa TRA, ukweli kodi hii inakwenda kutuumiza sana,” amesema Ntoni Deus.
My Take
Naunga mkono,Pia pombe na Sigara ziongezewe Kodi.View attachment 2714625
Nakuunga mkono mkuu....popote duniani mageuzi yalitokea baada ya life kutight....siku tukibanwa vizuri tutaelewa umuhimu wa kupiga kura...tutaelewa umuhmu wa kuchagua viongozi sahihi....tutaelewa namna ya kudai haki zetu za msingi....tutapata nguvu ya kuhoji matumiz ya serikal...yaan kiiujumla tutakuwa very aggressive...tutaacha ujingaHiyo kodi ndogo sana wangeweka laki na nusu ili akili ziwakae sawa wawe na ujasiri wa kuhoji matumizi ya kodi zao
Vizuri sana TRA. Walipe kodi kabisa, walisema na wakaandamana kuwa wanapata milioni tatu kwa mwez. Kama kuna watu wana laki7 na wanalipa kodi, kwanini wao wsichangie uchumi wataifa? Ilichelewa sanaBodaboda mmesikia hii? Sasa rasmi mtaanza kulipa Kodi. Hapa Serikali mmechemka na mnawaonea Bodaboda, maana kupata 20,000 kwa siku ni kazi kubwa ila Nchi itajengwa na Watanzania wote.
----
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika mabadiliko ya Sheria za kodi mwaka 2023, serikali imeweka kodi ya mapato kwa wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki zenye magurudumu mawili (Bodaboda) ambapo watatakiwa kulipa kiasi cha Sh. 65,000 kwa Mwaka.
Hayo yamesemwa jana na Afisa mkuu wa usimamizi wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Hamad Mterry, wakati akiwasilisha mada ya mabadiliko ya sheria mbalimbali za kodi kwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu.
Mterry amesema kuwa hiyo ni moja ya sheria ya kodi ambayo ni mpya na imewagusa Bodaboda, ambapo watatakiwa kuichagia serikali kiasi cha Sh. 65,000 kwa mwaka, kuanzia mwaka huu wa fedha ambao tayari umeanza tangu Julai Mosi, 2023.
Afisa Mawasiliano na elimu kwa umma kutoka (TRA) Mkoa wa Simiyu, Benjamin John amesema kuwa Bodaboda anaweza kulipa kodi hiyo kwa awamu nne ndani ya mwaka, ambapo kila awamu atatakiwa kulipa Sh. 16,250.
Hata hivyo wafanyabiashara za kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) wanaona kodi hiyo inakwenda kuongeza ugumu wa maisha kwao, kutokana na kipato chao cha kila siku kuwa kidogo sana.
“ Ukizingatia kwa sasa kupata Sh. 10,000 kwa siku ni ngumu sana, lakini mafuta yamepanda bei, tunalipa LATRA, tunalipa Bima, bado familia inakutegemea, leo tumeletewa TRA, ukweli kodi hii inakwenda kutuumiza sana,” amesema Ntoni Deus.
My Take
Naunga mkono,Pia pombe na Sigara ziongezewe Kodi.View attachment 2714625
Iko hivi, mifumo yao hauwezi kuilinganisha na huku, usipolipa kodi ulaya maisha yako yatasimama na hauwezi kuishi, lkn kwetu haulipi kodi na unaishi vizuri tu.Hakuna apendaye kulipa kodi duniani kote.Mfumo unawalazimisha wala sio hiali yao, mfano kwa sasa tunalipa kodi ya majengo lkn ulishasikia mtz anagombana na serikali kuhusu hiyo kodi? Kama hautaki kuilipa hiyo kodi basi usiweke umeme nyumbani kwako, je utakuwa na maisha ya namna gani? Sasa ulaya mifumo ya hivyo ni mingi huna pakuchomokea unabanwa kila kona na kodi utailipa tu, Gas, maji, umeme huduma za benki, kadi za usafiri, bima nk utalipa tu upende usipende. Huku watu wanaishi kama mang'ombe halafu unawafuata polini eti unataka maziwa ndoo 5 kwa kila ng'ombe.Kuna siku moja nilikuwa naongea na jamaa mmoja Mtanzania anakaa Finland siku nyingi sana, kuhusu kodi.
Akawa anasema, Watanzania si kweli kwamba hawapendi kulipa kodi. Watanzania hawapendi kulipa kodi ambazo hawaoni zinachofanya katika maisha yao. Yani kodi wanalipa, halafu zile huduma za kijamii zinazotakiwa kufanywa na hizo kodi hawazioni.
Akasema, Watanzania hawahawa wakienda kukaa nchi kama Finland, wanatozwa kodi kubwa kuliko Tanzania, lakini hawalalamiki.
Kwa nini? Kwa sababu kazi nzuri zipo, mishahara mizuri ipo, na hata kukiwa na kodi kubwa sana, wanaona kabisa kodi zetu zinafanya kazi gani, kuanzia shule nzuri, hospitali nzuri, zenye madawa na huduma tele, madaktari wazuri na wengi, mifuko ya jamii kuhudunia watu wasio na kazi ipo vizuri, wazee wakistaafu wanahudumiwa vizuri, nyumba nzuri, huduma kama zimamoto na ufagizi wa mitaa nzuri, barabara nzuri, takataka zinakusanywa vizuri, maji unapata vizuri, mtu unaona wachukue tu hiyo kodi, maana kazi ya kodi unaiona.
Sasa Tanzania mnaenda kuwaminya mpaka mapumbu kwa kodi hao bodaboda ambao hata kula kwao kwa tabu, halafu kodi zote mnaenda kununua ma VX na kujenga ma Ikulu kedekede, huku hospitali hazina dawa, takataka hamzoi, miji michafu, maji ya shida mpaka mjini, mnategemea vipi watu wafurahie kutozwa kodi?
TRA wanasema sio taarifa rasmi kutoka kwao 😂😂Vizuri sana TRA. Walipe kodi kabisa, walisema na wakaandamana kuwa wanapata milioni tatu kwa mwez. Kama kuna watu wana laki7 na wanalipa kodi, kwanini wao wsichangie uchumi wataifa? Ilichelewa sana
Ulishasikia Ulaya mtu anahangaika na ada ya shule ya mtoto au kulipa bima ya afya kama NHIF kila mwaka? 😀 Ulishaskia raia anaenda kununua dawa pharmacy ya jirani baada ya kujilipia matibabu kwa pesa zake ila hospitali haina dawa? Ulishawahi sikia raia wanalipa sungusungu na ulinzi shirikishi na wazoa takataka kwa pesa zao mtaani ilihali serikali inakusanya kodi kwenye halmashauri? 😀Iko hivi, mifumo yao hauwezi kuilinganisha na huku, usipolipa kodi ulaya maisha yako yatasimama na hauwezi kuishi, lkn kwetu haulipi kodi na unaishi vizuri tu.Hakuna apendaye kulipa kodi duniani kote.Mfumo unawalazimisha wala sio hiali yao, mfano kwa sasa tunalipa kodi ya majengo lkn ulishasikia mtz anagombana na serikali kuhusu hiyo kodi? Kama hautaki kuilipa hiyo kodi basi usiweke umeme nyumbani kwako, je utakuwa na maisha ya namna gani? Sasa ulaya mifumo ya hivyo ni mingi huna pakuchomokea unabanwa kila kona na kodi utailipa tu, Gas, maji, umeme huduma za benki, kadi za usafiri, bima nk utalipa tu upende usipende. Huku watu wanaishi kama mang'ombe halafu unawafuata polini eti unataka maziwa ndoo 5 kwa kila ng'ombe.
Bodaboda mmesikia hii? Sasa rasmi mtaanza kulipa Kodi. Hapa Serikali mmechemka na mnawaonea Bodaboda, maana kupata 20,000 kwa siku ni kazi kubwa ila Nchi itajengwa na Watanzania wote.
----
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema kuwa katika mabadiliko ya Sheria za kodi mwaka 2023, serikali imeweka kodi ya mapato kwa wasafirishaji wa abiria kwa kutumia pikipiki zenye magurudumu mawili (Bodaboda) ambapo watatakiwa kulipa kiasi cha Sh. 65,000 kwa Mwaka.
Hayo yamesemwa jana na Afisa mkuu wa usimamizi wa kodi kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Hamad Mterry, wakati akiwasilisha mada ya mabadiliko ya sheria mbalimbali za kodi kwa wafanyabiashara wa Mkoa wa Simiyu.
Mterry amesema kuwa hiyo ni moja ya sheria ya kodi ambayo ni mpya na imewagusa Bodaboda, ambapo watatakiwa kuichagia serikali kiasi cha Sh. 65,000 kwa mwaka, kuanzia mwaka huu wa fedha ambao tayari umeanza tangu Julai Mosi, 2023.
Afisa Mawasiliano na elimu kwa umma kutoka (TRA) Mkoa wa Simiyu, Benjamin John amesema kuwa Bodaboda anaweza kulipa kodi hiyo kwa awamu nne ndani ya mwaka, ambapo kila awamu atatakiwa kulipa Sh. 16,250.
Hata hivyo wafanyabiashara za kusafirisha abiria kwa kutumia pikipiki (Bodaboda) wanaona kodi hiyo inakwenda kuongeza ugumu wa maisha kwao, kutokana na kipato chao cha kila siku kuwa kidogo sana.
“ Ukizingatia kwa sasa kupata Sh. 10,000 kwa siku ni ngumu sana, lakini mafuta yamepanda bei, tunalipa LATRA, tunalipa Bima, bado familia inakutegemea, leo tumeletewa TRA, ukweli kodi hii inakwenda kutuumiza sana,” amesema Ntoni Deus.
My Take
Naunga mkono,Pia pombe na Sigara ziongezewe Kodi.View attachment 2714625
Hili kundi la boda boda likiamua nchi inakomboka.Hiyo kodi ndogo sana wangeweka laki na nusu ili akili ziwakae sawa wawe na ujasiri wa kuhoji matumizi ya kodi zao