TRA Tanzania
Senior Member
- Jul 16, 2022
- 128
- 370
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka uko kwny kundi la 1500 per month,mkuu acha kubwatuka,lipia kodi,huwez sema huoni chochote kinachofanyika kwa kodi zetu,huo niuwendawazimu,we timiza wajibu wakoHii nchi ni ya kipuuzi sana. Kila siku mnapandisha tu kodi na tozo. Halafu mnachofanyia hizo hela mnakijua wenyewe.
Hivi hamna vyanzo vingine vipya vya mapato!
Acha ujinga wewe. Watu wanalipa kodi kila siku halafu zaidi ya 80% ya hizo kodi zenyewe mnazitumia kwenye mambo ya hovyo, halafu unaletea za kuleta hapa.Bila shaka uko kwny kundi la 1500 per month,mkuu acha kubwatuka,lipia kodi,huwez sema huoni chochote kinachofanyika kwa kodi zetu,huo niuwendawazimu,we timiza wajibu wako
Tunagawana madeni ya kesi na bado.
Mpatie kodi mzee mwenye nyumba ulopanga kwa wakati alipie kodi ya makazi,anaetakiwa kulalamika na mwny nyumba,apo ukute hata haujapandishiwa kodi na mwny nyumba wako na unalalamika kishenz,me sio shabiki sana wa serikali lakn siwez kusema sioni kinachofanyika kwa kodi zenu na njia zngne za mapato serikaliniAcha ujinga wewe. Watu wanalipa kodi kila siku halafu zaidi ya 80% ya hizo kodi zenyewe mnazitumia kwenye mambo ya hovyo, halafu unaletea za kuleta hapa.
Wakikujibu najitoa jf.Mtakuwa mnakusanya kodi Tsh ngap kwenye bandari baada ya DP World kuwekeza.
😁😁😁 Unawasagia kunguniMtakuwa mnakusanya kodi Tsh ngap kwenye bandari baada ya DP World kuwekeza.