TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

Hii nchi tabu sana wanaendelea kukamua ingawa matumizi ya hizo pesa yanazidi kubanwa (Hakuna kuajiri wala kutoa ujira) kila kitu tunafungua nchi wawekezaji waje wafanye (miradi ni mikopo) na nyingine ni kama zawadi mfano madarasa ya COVID...

Napenda kuuliza Hizo pesa zinakwenda WAPI ?!!!!!!
 
Bila shaka uko kwny kundi la 1500 per month,mkuu acha kubwatuka,lipia kodi,huwez sema huoni chochote kinachofanyika kwa kodi zetu,huo niuwendawazimu,we timiza wajibu wako
Mkuu rasilimali ilizokua nazo nchi hii iwapo ndio ingekua nchi ya wanasiasa wanategemea kuchaguliwa kihalali na wananchi basi kusingekua na maongezeko ya kodi na tozo kama hivi,kilichopo kwa sasa wanasiasa awahofii wapiga kura sababu wanajua namna gani wanashinda kipindi cha uchaguzi
 
Kodi hii kwa kuwa ipo kisheria lazima tulipe, ila naishauri serikari kutumia kodi zetu vizuri kwa manufaa ya walipakodi wenyewe. Inaumiza mwananchi wa kawaida anabebeshwa mzigo wa kodi na tozo mbalimbali halafu wananufaika wajanja wacheche kwa kufanya ubadilifu na serikari haichukui hatua yoyote, au kufanya matumizi yasiyo na tija kwa wananchi mfano mdogo ni pale wanaponunua magari yenye gharama kubwa kwa kila kiongozi, inaumiza sana.
 
Mpatie kodi mzee mwenye nyumba ulopanga kwa wakati alipie kodi ya makazi,anaetakiwa kulalamika na mwny nyumba,apo ukute hata haujapandishiwa kodi na mwny nyumba wako na unalalamika kishenz,me sio shabiki sana wa serikali lakn siwez kusema sioni kinachofanyika kwa kodi zenu na njia zngne za mapato serikalini
Wewe ni hopeless! aka empty head.
 
Baada ya madelu kuongeza tozo kwenye mfuko wa simenti leo kaja na ongezeko kwenye majengo, huyu jamaa hii PhD yake naona haimwezeshi kufikiria nje ya uchumi wa tozo... hawa ndio wakienda kupambanishwa na vijana wa kizungu wanabaki kusingizia kuumwa.
 
Wametuuwa Kabisa Ccm Yaani Buku Imepanda Mpaka Kileleni
Wamekosa Vyanzo Kabisa? Halafu Aibu Hawana Kabisa
Ndege Zinakamatwa Hovyo2 Hovyo
Wabunge Wao Wanachota Cash Yao Yote Huku Wanapiga Mruzi

Walala Hoi Wametegwa Kwenye Umeme Tumenasa
Kwamba mwanaume mzima kulipa 50 kila siku waona kubwa sana?
 
Hii nchi tabu sana wanaendelea kukamua ingawa matumizi ya hizo pesa yanazidi kubanwa (Hakuna kuajiri wala kutoa ujira) kila kitu tunafungua nchi wawekezaji waje wafanye (miradi ni mikopo) na nyingine ni kama zawadi mfano madarasa ya COVID...

Napenda kuuliza Hizo pesa zinakwenda WAPI ?!!!!!!
Kwamba huko barabarani huoni lami?

Kwamba huoni shule mpya?

Kwamba husikii kuna elimu bure?

Kwamba huoni zahanati na vituo vya afya bikijengwa?
 
Back
Top Bottom