dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
safi sana mama
endelea kupiga kazi
endelea kupiga kazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaah !!nani kama mama, mama yupo kazini
Kodi zinaenda kulipa posho mpya wabungeDaaah !!
Kazi iendelee.safi sana mama
endelea kupiga kazi
Za kulipana posho bungeni mwezi wa 9Huu ndio uhuru tuliokuwa tunautaka. Safi sana Mama
wacha weeeè !!!Si tumekubaliana dipi wedi ikitake over tozo zinafutwa?au mi ndo sielewi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona hii aseeTaarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Cha
Hatuna cha kuwafanyaNimeona hii asee
Hii nchi iko chini ya viongozi wahovyo sana
Walitudanganya tozo za miamala zimetolewa sasa ivi wamepandisha kodi za majengo alooh
Haya ndio maendeleo tunayotaka sasa, tulipe kodi kama wenzetu MABEBERU.Taarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Chama .
Taarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Chama .
Hii sio tozo,ni Kodi ya jengo property taxSi tumekubaliana dipi wedi ikitake over tozo zinafutwa?au mi ndo sielewi🤣🤣🤣🤣
Wananchi mtuvumilie.., hatuna pesa yakufanya chaguzi zetu zinazotarajiwa kuanza mwakaniTaarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Chama .
Uwiiiii hatari hii. Bado simenti na vifaa vingine vya ujenzi navyo Bei imeumana.Taarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Chama .
Case closed....... I'm humble you know [emoji18]Taarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi , ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali , sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi .
Maendeleo hayana Chama .