Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Noma sana !Yaah Hakuna kitu kinachotofautisha Luku 2 zilizopo kwenye Nyumba mojaaa...!! Na siku hizi kila nyumba ina lukuu so ni helaa nyingii sanaaaa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana !Yaah Hakuna kitu kinachotofautisha Luku 2 zilizopo kwenye Nyumba mojaaa...!! Na siku hizi kila nyumba ina lukuu so ni helaa nyingii sanaaaa...
Mbona ize tu,wanaandika barua tuUtaratibu wa kufatilia wazee wasilipe hiyo kodi ni rafiki? Wazee wanaumia na hii kodi huku wana sifa za kutoilipa.
Wekeni Utaratibu rafiki kwa wazee na muutangaze.
Tumekubali kuwanufaisha na kuwajaza matumbo yaoHatuna cha kuwafanya
Kina Covid 19 nao wamo!Kodi zinaenda kulipa posho mpya wabunge
AmenTuko pamoja Mkuu.
Tuendelee kuwafikishia taarifa wenzetu.
Kwani si mkataba wa DPW hawajaupitisha bado, sasa walipwe kwa kipi?Kodi zinaenda kulipa posho mpya wabunge
Bandua bandika wewe sema tu "Yes" ili yaisheNimeona hii asee
Hii nchi iko chini ya viongozi wahovyo sana
Walitudanganya tozo za miamala zimetolewa sasa ivi wamepandisha kodi za majengo alooh
Mtu amenunua tu kipande Cha ardhi Cha hatua 20 Kwa 20 ,amejeng kibanda Cha chumba kimoja na sebure ,hana hata yakumiliki hiyo ardhi kisheria anatozwa Kodi ya jengo la 1500! CcM tuikataeTaarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi, ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali, sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi.
Maendeleo hayana Chama.
View attachment 2699946
Imeisha hiyo !Mtu amenunua tu kipande Cha ardhi Cha hatua 20 Kwa 20 ,amejeng kibanda Cha chumba kimoja na sebure ,hana hata yakumiliki hiyo ardhi kisheria anatozwa Kodi ya jengo la 1500! CcM tuikatae
Itakua wote hatuelewi🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sasa DP yenyewe si tumeikataa? Au mm ndio sielewi
sema mie sjaelewa hapo maana sie tumekatwa 200k tuliambiwa kwa kila ghorofa/rosha moja ni 100k so tukalipa 200k, na hyo ilitokea baada ya kila tukiweka umeme unagomaTaarifa mpya kutoka TRA na TANESCO zinaeleza kwamba ile kodi ya Majengo kwa nyumba za kawaida (nyumba za wanyonge) , iliyokuwa elfu 12 kwa mwaka sasa wanyonge hao watalazimika kukamuliwa zaidi, ambapo sasa itakuwa elfu 18 kwa mwaka , ambako badala ya kukatwa elfu 1 kwa mwezi kama ilivyokuwa awali, sasa wanyonge tutalimwa sh elfu 1500 kila mwezi.
Maendeleo hayana Chama.
View attachment 2699946