TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

Tatizo wizara ya fedha,Mipango na hazina wamejazana vilaza tu ,zero brains ,empty sets ,makanjanja ,wao vyanzo vya mapato ni kumkamua mlalahoi(mvuja jasho aka msaka nyoka) ,hawabuni vyanzo kwenye natural resources tulizonazo wao macho kodo kwa mwananchi wa kawaida tu.
 
Wao wananenepeana tu kama panya wa stoo kwa kutapanya fedha halafu mzigo unarudi kwa mlalahoi.Stupid.
Maafisa wa TRA wa mikoa mishavu ipo kama ya hiyo mipanya.
desktop-wallpaper-corn-food-animals-squirrel-maize.jpg
 
Umaarufu wa hii serikali umeshuka Sana hasa baada ya kuibuliwa uovu waliosaini na DP W, watumishi kuto kukuta increment, ukosefu wa mafuta na Sasa hili.
Hivi? Kodi inaweza kupanda bila bunge kuridhia?
 
Kati ya kodi za hovyo kuwahi kutokea hii ni kodi ya hovyo sana naamini vijana huko mbele watakuja kutoa huu ujinga maana wanapata Elimu....

Nchi ina Mali za kutosha hamfikirii kuwapa auweni kwa kuchaji hizi mambo sehemu ingine ili waone faida ya Rasilimali zao nyi TRA kila mkiamka kwa kuwa mawazo yenu ni mgando ni kulete kodi za hovyo hovyo tuu kama hata shule hamjawahi kupita...
 
Hii nchi ngumu sana. Kila siku mnapandisha tu kodi na tozo. Halafu mnachofanyia hizo hela mnakijua wenyewe.

Hivi hamna vyanzo vingine vipya vya mapato!
Angalau basi hizi kodi wangekuwa wanazitumia vizuri na siyo kuziiba tu kwa kisingizio kuwa wamesharuhusiwa na Bi. Tozo kula kulingana na urefu wa kamba zao!
 
kaz iendeleee !tuko kutimiza wajibu wanchi tutalipa mpka akili itukae sawa
 
Mpatie kodi mzee mwenye nyumba ulopanga kwa wakati alipie kodi ya makazi,anaetakiwa kulalamika na mwny nyumba,apo ukute hata haujapandishiwa kodi na mwny nyumba wako na unalalamika kishenz,me sio shabiki sana wa serikali lakn siwez kusema sioni kinachofanyika kwa kodi zenu na njia zngne za mapato serikalini
Mijitu mingine bwana🚮🚮🚮

Uliisoma Ripoti ya CAG ya mwaka huu? Ni kiasi gani cha pesa kiliibwa?

Unapandishia watu kodi halafu hela zaidi ya nusu zinazopatikana zinaishia kuibwa na wajanja wachache. Hopeless kabisa!
 
Kati ya kodi za hovyo kuwahi kutokea hii ni kodi ya hovyo sana naamini vijana huko mbele watakuja kutoa huu ujinga maana wanapata Elimu....

Nchi ina Mali za kutosha hamfikirii kuwapa auweni kwa kuchaji hizi mambo sehemu ingine ili waone faida ya Rasilimali zao nyi TRA kila mkiamka kwa kuwa mawazo yenu ni mgando ni kulete kodi za hovyo hovyo tuu kama hata shule hamjawahi kupita...
Huko unapoishi hakuna property tax?
 
mlitakiwa muongezee na ile ya DP World kwenye umeme ama kwenye maji ili mkamue vizuri maana hamna tena uwezo wa kutafuta vyanzo vya kulipia mikesi mliyozalisha huko duniani kwa tamaa za matumbo yenu, SHAMELESS nchi.
 
mlitakiwa muongezee na ile ya DP World kwenye umeme ama kwenye maji ili mkamue vizuri maana hamna tena uwezo wa kutafuta vyanzo vya kulipia mikesi mliyozalisha huko duniani kwa tamaa za matumbo yenu, SHAMELESS nchi.
It is what it is!
 
Frequency ya upandishaji wa kodi haiendani na upandishaji wa mishahara
 
Hii nchi ngumu sana. Kila siku mnapandisha tu kodi na tozo. Halafu mnachofanyia hizo hela mnakijua wenyewe.

Hivi hamna vyanzo vingine vipya vya mapato!
Wanakusanya hela ili walipe fidia kwa makampuni waliyoya unjia mikataba kihuni. CCM ni genge la panyaroad. Waliovaa suti.
 
Bila shaka uko kwny kundi la 1500 per month,mkuu acha kubwatuka,lipia kodi,huwez sema huoni chochote kinachofanyika kwa kodi zetu,huo niuwendawazimu,we timiza wajibu wako
Matumizi ya kodi tunayaona tena sana,
Ila ripoti za CAG zinatupa machungu sana
& Kutofanyiwa kazi au kuchukuliwa hatua kunatupa machungu zaidi na zaidi

Then hatujakaa sawa badala ya kujikita kudhibiti kdg tunachokusanya kitumike kwa ufasaha kwaajili ya maslai ya taifa ndo kwanzaa tunazidi kuongeza mzigo wa kodi ili ziliwe vzr( Tukutane mwakani ripoti ya CAG-2022/23)
 
Huko unapoishi hakuna property tax?
Wewe hakuna unachokijua mkuu...hiyo kodi inalipwa kwenye kununua Umeme?au kwa wamilikia wa hiyo mijengo...unajua Zambia umeme wa Tsh 5000 unapata zaidi ya 100 units umeme sio ghari watu wanatumia kwa vitu vingi mpaka Jiko sasa jaribu kutumia Jiko la umeme kwa hizo kodi za nyumba kwenye umeme uone balaa lake...
 
Wewe hakuna unachokijua mkuu...hiyo kodi inalipwa kwenye kununua Umeme?au kwa wamilikia wa hiyo mijengo...unajua Zambia umeme wa Tsh 5000 unapata zaidi ya 100 units umeme sio ghari watu wanatumia kwa vitu vingi mpaka Jiko sasa jaribu kutumia Jiko la umeme kwa hizo kodi za nyumba kwenye umeme uone balaa lake...
Tatizo lako wataka weka siasa kwenye vitu vya kawaida tu.
Kama wewe nyumba si yako wapaswa ongea na mwenye nyumba umueleze kuw akwenye kodi yake utaondoa 18000 ya tanesco.

Kama ulifatilia bajeti utaelewa kuwa kuanzia 2026 majengo yote yatatozwa pesa kwa thamani ya jengo husika
 
Back
Top Bottom