Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Wewe kila kitu unaona sawa ulikubali walipoongeza Tozo kwenye Simu baadae wamefuta wao wameona kero unakubali hata haueleweki upo wapi sijazungumzia mambo ya nyumba yangu au ya kupanga nazungumzia kwa ujumla wanaweka kodi nyingi kwenye umeme unaonekana anasa wewe usiejua kitu unipe mbinu aisee...Tatizo lako wataka weka siasa kwenye vitu vya kawaida tu.
Kama wewe nyumba si yako wapaswa ongea na mwenye nyumba umueleze kuw akwenye kodi yake utaondoa 18000 ya tanesco.
Kama ulifatilia bajeti utaelewa kuwa kuanzia 2026 majengo yote yatatozwa pesa kwa thamani ya jengo husika
Ongezeko la 50% ni kubwa sana. Mungu azidi kuilaani CCM na serikali yake dhalim
Punguza ujinga wewe?.Unapoona watu wanaongea vitu vya maana usifikiri wanajiongelea wao wenyewe tu.Kua na akili.Kwamba mwanaume mzima kulipa 50 kila siku waona kubwa sana?
Mjinga mama yako alokuzaaPunguza ujinga wewe?.Unapoona watu wanaongea vitu vya maana usifikiri wanajiongelea wao wenyewe tu.Kua na akili.
Achana naye chawa huyo.anakula kwa shemeji anajiona kayapatia maisha.Wewe kila kitu unaona sawa ulikubali walipoongeza Tozo kwenye Simu baadae wamefuta wao wameona kero unakubali hata haueleweki upo wapi sijazungumzia mambo ya nyumba yangu au ya kupanga nazungumzia kwa ujumla wanaweka kodi nyingi kwenye umeme unaonekana anasa wewe usiejua kitu unipe mbinu aisee...
Bora mama yangu alizaa ninayejielewa kuliko wewe mjinga mwandamizi.Mjinga mama yako alokuzaa
Me huwa namshangaa mtu anakwambia haoni kitu chochote, seriously yaan,,Matumizi ya kodi tunayaona tena sana,
Ila ripoti za CAG zinatupa machungu sana
& Kutofanyiwa kazi au kuchukuliwa hatua kunatupa machungu zaidi na zaidi
Then hatujakaa sawa badala ya kujikita kudhibiti kdg tunachokusanya kitumike kwa ufasaha kwaajili ya maslai ya taifa ndo kwanzaa tunazidi kuongeza mzigo wa kodi ili ziliwe vzr( Tukutane mwakani ripoti ya CAG-2022/23)
Kwahiyo kukatwa buku jero ndo unalalamika,yan unatumia bando la buku jero kulalamikia kodi ya buku jero mzee,maisha bado yanakudai mzeeWewe unaishi kwa wazszi wako haujui jinsi inavyolipwa, kila mwezi mkinunua umeme wanakata shs. 1,000/= sasa watakata shs.1,500/=.
Huyo jamaa ni kiboko aisee...daah yaani anaona sawa watu wakitengeneza mazingira ya wizi sisi tukae Kimya...Achana naye chawa huyo.anakula kwa shemeji anajiona kayapatia maisha.
Utakuwa ulifeli shule au ulikuwa mtoro unakwenda kibeti.Kwahiyo kukatwa buku jero ndo unalalamika,yan unatumia bando la buku jero kulalamikia kodi ya buku jero mzee,maisha bado yanakudai mzee
Thibitisha nilipokubaliana nao kwenye hizo TOZO.Wewe kila kitu unaona sawa ulikubali walipoongeza Tozo kwenye Simu baadae wamefuta wao wameona kero unakubali hata haueleweki upo wapi sijazungumzia mambo ya nyumba yangu au ya kupanga nazungumzia kwa ujumla wanaweka kodi nyingi kwenye umeme unaonekana anasa wewe usiejua kitu unipe mbinu aisee...
Watanzania watakamuliwa hadi basi shauri ya ukimya wao, hakika ukombozi wa nchi kutoka kwa mkoloni mweusi unahitajika.
kumekuchaaaKhaa! Hapo kwenye maghorofa, wametupiga na kitu kizito kichwani...