TRA: Taarifa kuhusu Mabadiliko ya Viwango vya Kodi ya Majengo inayotozwa kupitia ununuaji wa umeme

Wewe kila kitu unaona sawa ulikubali walipoongeza Tozo kwenye Simu baadae wamefuta wao wameona kero unakubali hata haueleweki upo wapi sijazungumzia mambo ya nyumba yangu au ya kupanga nazungumzia kwa ujumla wanaweka kodi nyingi kwenye umeme unaonekana anasa wewe usiejua kitu unipe mbinu aisee...
 
Mama anapigwa vita kiaina, mama tafadhali mcheki sana huyo bwanafedha, si mtu mzuri kwa afya ya utawala wako
Take care
 
Kwamba mwanaume mzima kulipa 50 kila siku waona kubwa sana?
Punguza ujinga wewe?.Unapoona watu wanaongea vitu vya maana usifikiri wanajiongelea wao wenyewe tu.Kua na akili.
 
Achana naye chawa huyo.anakula kwa shemeji anajiona kayapatia maisha.
 
Me huwa namshangaa mtu anakwambia haoni kitu chochote, seriously yaan,,
Kuhusu CAG ney wa mitego ameikumbusha serikali tuendelee kusubir kuona km watashtuka ama ni ujeuri
 
Wewe unaishi kwa wazszi wako haujui jinsi inavyolipwa, kila mwezi mkinunua umeme wanakata shs. 1,000/= sasa watakata shs.1,500/=.
Kwahiyo kukatwa buku jero ndo unalalamika,yan unatumia bando la buku jero kulalamikia kodi ya buku jero mzee,maisha bado yanakudai mzee
 
Thibitisha nilipokubaliana nao kwenye hizo TOZO.

Kodi lazima ilipwe huwezi toa mita tumia kibatali au mshumaa
 
Khaa! Hapo kwenye maghorofa, wametupiga na kitu kizito kichwani...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…