TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

Mungu hakushindwa kuzuia lolote

"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu."


"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ...... (Qur'ani, 4:59)
Mungu amemkabidhi mamlaka shetani hasa ya ulimwengu huu, lazima uwe matured enough kutambua hilo, na kutii hizo mamlaka za aina hiyo ni sawa na kutii mamlaka za shetani.
 
Wameanza kukamata watu kwenye petrol stations (na Mimi leo nimepost jambo kuhusiana na gari, ila nilipewa lifti tu).
Hata ukipewa lifti unatakiwa umkumbushe dereva vinginevyo wote mtapigwa faini!
 
Mungu amemkabidhi mamlaka shetani hasa ya ulimwengu huu, lazima uwe matured enough kutambua hilo, na kutii hizo mamlaka za aina hiyo ni sawa na kutii mamlaka za shetani.
Mamlaka ya shetani yako kuzimu siyo ulimwenguni!
 
Kuna wakati Mungu amemkabidhi mamlaka shetani hasa ya ulimwengu huu, lazima uwe matured enough kutambua hilo, na kutii hizo mamlaka za aina hiyo ni sawa na kutii mamlaka za shetani.Kama unamuamini ishi mapenzi yake aliyoagizi

Kama unamuamini Mungu maturity ni kuishi kadri ya maelekezo yake na sio kuishi kwa vile unavyoona inakupendeza wewe. Mungu hapangiwi wala wala hafanyiwi jeuri, Mungu anaombwa ili mapenzi yake yatimie​

1 Petro 2:13-17​

13 Jinyenyekezeni kwa ajili ya Bwana chini ya mamlaka yote ya wanadamu: ikiwa ni mfalme ambaye ana mamlaka ya mwisho;

14 au ikiwa ni wakuu wengine ambao amewateua kuwaadhibu wahalifu na kuwasifu watendao mema.

15 Kwa maana ni mapenzi ya Mungu kwamba kwa kutenda mema myazime maneno ya kijinga ya watu wapumbavu.

16 Ishini kama watu huru lakini msitumie uhuru wenu kama kisingizio cha kutenda uovu; bali muishi kama watumishi wa Mungu.

17 Waheshimuni watu wote. Wapendeni ndugu waamini. Mcheni Mungu. Mheshimuni mfalme.
 
Mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) imetoa mwongozo wa kisheria kwa wananchi wote kwamba endapo utanunua bidhaa au Huduma ni lazima udai risiti..
Kazi yao ni kuchukua Kodi zetu na ukihoji matumizi yake unaletwa wasiojulikana,DPP ufanya yake ushahidi kukamilika ni Hadi utoe pesa,.
Lait Kama walipa kodi wangeshirikishwa kwenye matumizi ya Kodi zao umasikini, tatizo la ajira,basic needs vingekuwa ni historia
 

Kama unamuamini Mungu maturity ni kuishi kadri ya maelekezo yake na sio kuishi kwa vile unavyoona inakupendeza wewe. Mungu hapangiwi wala wala hafanyiwi jeuri, Mungu anaombwa ili mapenzi yake yatimie...​

Mamlaka ya dunia ikikwambia ua utaua? I hope so kama unaiheshimu iliyopatikana kwa njia za kitapeli, but mwenzio mwenye hayo mamlaka hapa duniani anaogopa kuweka saini kwenye hati ya kifo ili mtu anyongwe, tafakari.
 
Mamlaka ya dunia ikikwambia ua utaua? I hope so kama unaiheshimu iliyopatikana kwa njia za kitapeli, but mwenzio mwenye hayo mamlaka hapa duniani anaogopa kuweka saini kwenye hati ya kifo ili mtu anyongwe, tafakari.
Nani kauliwa hapa???
 
Jamaa sasa wanabuni kila njia ya kukusanya mapato ile SGR ikamilike, ile ya uhujumu uchumi na kuongea na DPP wameona inaanza kupwaya, watuhumiwa wanakaribia kwisha magerezani.
Kuketi chini na DPP...hahaha..

Hii nchi hii..
 
Ungejua hii dunia ndio kuzimu yenyewe, au wewe unadhani kuzimu ni wapi?! uliwahi kufika?
2Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.
3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.
 
Nani kauliwa hapa???
Usikimbie hoja bibie, kaa kwa kutulia...unadai unaheshimu mamlaka za dunia, nimekuuliza hiyo mamlaka unayodai kuiheshimu ikikwambia uue utaua? kwasababu hiyo pia ni adhabu ya huu ulimwengu.
 
Usikimbie hoja bibie, kaa kwa kutulia...unadai unaheshimu mamlaka za dunia, nimekuuliza hiyo mamlaka unayodai kuiheshimu ikikwambia uue utaua? kwasababu hiyo pia ni adhabu ya huu ulimwengu.
Maada hapa ni kulipa kodi sio kuua.
Weka maada ya kuua ijadiliwe
 
Back
Top Bottom