Mema ya mamlaka mbovu unayajua? mfano wake ni kusifia uovu, ukijaribu kuyaonya kwa kuyapinga uovu wanaofanya utaishia kuokotwa kwenye kiroba Coco Beach.2Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.
3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.
Hope umeshaona ilivyo ngumu kuheshimu mamlaka za ulimwengu, vingine vigumu huwezi kuvitetea.Maada hapa ni kulipa kodi sio kuua.
Weka maada ya kuua ijadiliwe
Mungu hakushindwa kuzuia lolote
"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu."
"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ...... (Qur'ani, 4:59)
Aliyeandika Biblia alikuwa mtu mwenye akili sana alijua haya yote na kwa maslahi ya utawalaWarumi13
1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.
2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.
3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.
4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.
5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.
6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.
7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.
Qur'ani
"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ......" (Qur'ani, 4:59)
Bwashee, wale machinga mnao watoza elfu 20 za vitambulisho nao wanatoa risiti au kwa kauli hii mnatuambia tusinunue bidhaa zao?Mamlaka ya mapato Tanzania ( TRA) imetoa mwongozo wa kisheria kwa wananchi wote kwamba endapo utanunua bidhaa au Huduma ni lazima udai risiti.
Endapo utakamatwa umenunua bidhaa au Huduma na hauna risiti basi utapigwa faini ya kati tsh 30,000 na 1,500,000 kwa mujibu wa kanuni za sheria ya kodi.
Kumbuka kudai risiti kila wakati.
Maendeleo hayana vyama!
Mungu atabaki kuwa Mungu tuu hata pale ambapo mapenzi yetu hayatimii bado ni Mungu.Mema ya mamlaka mbovu unayajua? mfano wake ni kusifia uovu, ukijaribu kuyaonya kwa kuyapinga uovu wanaofanya utaishia kuokotwa kwenye kiroba Coco Beach.
Kusifiwa na huyo mwenye mamlaka ni sawa na kusifiwa na shetani.
Aliyeandika Biblia alikuwa mtu mwenye akili sana alijua haya yote na kwa maslahi ya utawala
Epuka usumbufu na adhabuHope umeshaona ilivyo ngumu kuheshimu mamlaka za ulimwengu, vingine vigumu huwezi kuvitetea.
Hahahaaa hapo sijui nani atawajibika kulipiaMuda si mrefu wenye mahusiano /ndoa watalipia kodi
Mpaka miradi ikamilike, tutaona na kusikia mengi kutoka TRA.
Ahaaa, kwani ukiwa unadrive kuna noma?Wameanza kukamata watu kwenye petrol stations (na Mimi leo nimepost jambo kuhusiana na gari, ila nilipewa lifti tu).
A Bible is an Opium for the People by .....philosopher mmoja makini!!!Mungu hakushindwa kuzuia lolote
"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu."
"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ...... (Qur'ani, 4:59)
Wapi nimesema dunia?Ungejua hii dunia ndio kuzimu yenyewe, au wewe unadhani kuzimu ni wapi?! uliwahi kufika?
Mtoa Huduma asipotoa risiti faini yake ni tsh 3,000,000 hadi tsh 4,500,000Anayepaswa kupigwa faini ni mtoaji risiti na si mteja!Tunakoelekea tutakuwa tunaviziana!
Utaacha lini ukuda bwashehBwashee usisahau kudai risiti kila ufanyapo manunuzi!