TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

Sawa mama d wewe ni kama malaika hukosei
Hufanyi makosa wala dhambi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Yaani hawa tiaraei tisiaraei na serikali kwa ujumla inata katufanye nini sijui.

Waendelee kumchezea Sharubu siku tutakaponyanyua mkia ndo watakapoona dunia chungu knm@m@³ zao
 
It’s just illogical ni wapi duniani mlaji wa mwisho analazimishwa risiti.

Mambo mengine ni kukosa ubunifu tu na uonevu. Wawafundishe wafanyakazi wao jinsi ya kufanya auditing sio kuwaumiza wananchi.

Unachotaka ni mfanyabiashara kuwa na risiti za manunuzi na mauzo; mteja wa mwisho hana lazima ya kuchukua receipt.

I mean serious kituo cha mafuta kinaweza kweli kukwepa kulipa kodi wakati manunuzi yao ni easily traceable, if anything risiti ya kituo cha mafuta kwa mlaji ni kumuonyesha tu charge zote au kama anatunza as expense na yeye kama ana biashara.

Lakini ni upuuzi wa hali ya juu kulazimisha other motorist to ask for a receipt after filling up; kwa sababu you can easily trace manunuzi ya mafuta kwenye retail station.
 
Jamaa sasa wanabuni kila njia ya kukusanya mapato ile SGR ikamilike, ile ya uhujumu uchumi na kuongea na DPP wameona inaanza kupwaya, watuhumiwa wanakaribia kwisha magerezani.
Tatizo Nini Hadi hutaki kudai risiti kwa bidhaa uliyonunua kwa hela yako? Chadema hovyo kabisa.
 
Wawe wabunifu tuu... mfano nimewahi tembelea nchi wao kila risiti number ni namba ya mchezo wa bahati nasibu. Raia wanadai risiti haswa na kuhifadhi na kuangalia kwenye TV kila weekend namba gani imeshinda kitita cha hela ya zawadi.
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu..
Ujinga mtupu!

Siku hizi hata matapeli wa kisiasa kumbe mnatumia dini kujifichamo?
 
Nonsense!
 
Sipendi mtu anayejidai kunukuu nukuu vifungu vya maandiko ya dini kwenye sehemu ambazo hata hakungekuwa na ulazima/haja ya kufanya hivyo
Tapeli hilo. Na ni mwanamke.
 
Dukani kuna bei mbili bei ya risiti na bei bila risiti uchaguzi ni wako.
Ndivyo ilivyo na ndivyo tunavyofanya, cha msingi ni kufanya kwa akili huku ukiacha loophole za kutokea pindi wajuba wa tiaraei wakikudaka.
 
Sipendi mtu anayejidai kunukuu nukuu vifungu vya maandiko ya dini kwenye sehemu ambazo hata hakungekuwa na ulazima/haja ya kufanya hivyo
Polee, huna haja ya kuchukia. Wewe usinukuu, ishi kadri ya imani yako
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu...
Hivi mtu akiiba naye anakuwa amepewa na Mungu?
 
Ma TRA Watanikamata vipi sasa kwa vitambi vile walivyo navyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…