TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

TRA: Ukinunua bidhaa na usipodai risiti utapigwa faini ya kati ya Tsh. 30,000 na Tsh. 1,500,000

Kwa wenzetu wafanya biashara risiti inatakiwa kuwa na info zifuatazo 👇pamoja na kutakiwa kutunza accounting records👇

Information zinazotakiwa kuwa on the receipt
FC3501A0-455C-45E2-954F-7EA29381FF64.jpeg

Acccounting records to keep for five years

9F42F743-42FB-4FD5-994A-994A303AE2DC.jpeg

Ukishamuwa na ivyo vitu kama ni retailer wa mwisho utoe receipt or not sio kitu kinachowanyima usingizi.
82F6CFC7-70B3-4088-A326-97105B8C2692.jpeg



Source

Kwa hayo matakwa ya info za kwenye receipts (ata kama utoi lazima uindike) na records za kuweka usipotii maagizo yao umenunua ugomvi mkubwa na mamlaka yao ya kodi.

Na ukitii ivyo vigezo wakija kukukagua ukwepi kodi yao uwe retailer or wholesaler because they can trace the supply chain all the way back to the point of entry kama ni import au kiwandani kama bidhaa imezalishwa kwao.

Watu wajiongeze sio kutaka kusumbua wananchi kwa kukosekana ubunifu wa kuzuia mianya ya ukwepaji kodi huko TRA.
 
Ndugai na genge lake pamoja na covid19 Wanaweza pitisha azimio kila mwana ndoa awe analala chumba chake ukiingia kwa mwenzako unalipa na kupatiwa risiti halali kwa tendo moja ama mtakavyo kubaliana!
[emoji23][emoji23]
 
Ndugai na genge lake pamoja na covid19 Wanaweza pitisha azimio kila mwana ndoa awe analala chumba chake ukiingia kwa mwenzako unalipa na kupatiwa risiti halali kwa tendo moja ama mtakavyo kubaliana!
Hahaha umewaza nini lakini fundi25?
Halafu leo ndio kwanza January 7😂😂😂😂
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu...
Mamlaka yaliyo zungumziwa kwenye Quran siyo hayo ya utawala (Rais, Bunge na Mahakama)

Hapo wamelengwa viongozi wa kidini.
 
Mamlaka yaliyo zungumziwa kwenye Quran siyo hayo ya utawala (Rais, Bunge na Mahakama)

Hapo wamelengwa viongozi wa kidini.
Quran iliandikwa kwenye zama zipi? Na wakati huo watawala wa umma walikua kina nani? Na walikua wakitumia sheria zipi?
 
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
 
Mfanyabiashara ana akili sana,unanunua vitu vya laki 2 anakupatia list ya 60,000
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.

2 Kwa hiyo anayepinga mamlaka inayotawala ana pinga chombo kilichowekwa na Mungu; na watu wanaoasi watajiletea hukumu.

3 Kwa maana watawala hawatishi watu wanaotenda mema bali wale wanaotenda maovu. Kama hupendi kuishi kwa kumwogopa mwenye mamlaka, basi tenda mema naye atakusifu.

4 Maana mwenye mamlaka ni mtumishi wa Mungu kwa manufaa yako. Lakini kama ukitenda maovu, basi ogopa kwa maana hatembei na silaha bure. Yeye ni mtumishi wa Mungu anayetekeleza adhabu ya Mungu juu ya watenda maovu.

5 Kwa hiyo ni lazima kutii wenye mamlaka, si kwa sababu ya kuogopa adhabu tu bali pia kwa ajili ya dhamiri.

6 Kwa sababu hiyo hiyo mnalipa kodi, kwa maana watawala ni watumishi wa Mungu ambao hutumia muda wao wote kutawala.

7 Wal ipeni wote haki zao; mtu wakodi mlipe kodi; na mtoza ushuru mli pe ushuru; astahilie kunyenyekewa, mnyenyekee; astahiliye hesh ima, mheshimu.


Qur'ani
"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ......" (Qur'ani, 4:59)
Yesu alisema Mkuu wa ulimwengu huu amekwisha hukumiwa naye unamtii sababu ana mamlaka? Si kila mamlaka kaiweka Mungu?. Mbona YESU akutii mamlaka za kishetani alipoambiwa anafanya hayo Kwa mamlaka ya nani akajibu nenda ukamwambie yule mbweha. Herode na mamlaka akaambiwa mbweha. Sikia mamlaka inayofanya Dhambi haijawekwa na MUNGU.
 
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
Hivi wewe miss zomboko ni kada wa chama gani,
 
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
Hivi wewe miss zomboko ni kada wa chama gani,
 
Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA), imesema kuwa wataanza msako katika maeneo mbalimbali nchini kwa lengo la kuwakagua na kuwatoza faini wanunuaji wanaonunua bidhaa bila kuomba risiti na wafanyabiashara wanaouza bidhaa bila kutoa risiti.

Kauli hiyo imetolewa hii leo Januari 7, 2021, na Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi kutoka TRA, Richard Kayombo, wakati akizungumza kwenye kipindi cha SupaBreakfast cha East Africa Radio.

"Kama hautachukua risiti kwenye huduma ama bidhaaa yoyote uliyonunua ambayo inatakiwa kutolewa risiti, unaweza ukatozwa faini ya shilingi 30,000 au Milioni 1.5", amesema Kayombo.

Aidha akizungumzia kuhusu wafanyabiashara wasiokuwa waaminifu, Kayombo amesema kuwa, "Kama umeuza bidhaa lakini hujatoa risiti adhabu yako ni kati ya Mil. 3 hadi Mil. 4.5 iwe umetoa risiti ya udanganyifu adhabu hiyo inakuhusu au unayo mashine lakini hauitumii".
Hivi wewe miss zomboko ni kada wa chama gani,
 

Warumi13​

1 Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu.
Huu msitari Warumi 13-1 usitumike vibaya. Mimi siamini kama mamlaka ya Magufuli kwa mwaka 2020-25 imetoka kwa Mungu. Kwa kweli hata ukinichuna ngozi nichune ila MAGUFULI mamlaka yake HAIJATOKA kwa MUNGU BALI alijitwalia mamlaka kwa kuiba uchaguzi kwa kusaidiwa na TISS, NEC na Poilce.
 
Mbona kuna machinga wana vitambulisho vya ujasiriamali wanauza hadi radio na hawana risiti, je hawa vipi?
 
Mungu hakushindwa kuzuia lolote

"Kila mtu hana budi kutii serikali inayotawala. Kwa maana hakuna mamlaka isiyotoka kwa Mungu; na serikali zote zilizopo zimewekwa na Mungu."


"Enyi mlioamini Mtiini Allah, na mtiini Rasuli (Wake Muhammad) na Wale waliopewa mamlaka kutoka miongoni mwenu, ...... (Qur'ani, 4:59)
Hata kama wako madarakani kwa kuwezeshwa na mitutu ya bunduki. Sidhani kama Mungu ana maana hiyo, watu ndio hupotosha kukidhi matakwa yao.
 
Back
Top Bottom