TRA wanajichanganya sana kwenye suala la Tegeta

Waliomuua Ali Kibao hawajakamatwa
Wananchi waliowagomea wauaji na kumstawisha mmoja ndo wanakamatwa fasta
 
Mzee kibao waliblock basi mbele pia wakamchukua, anakuja kupatikana ni marehem. Unataka ufanyeje Defender ikikublock mbele Ili ikukamate kama sio kupiga kelele upate usaidizi wa wananchi. Vinginevyo kheri uende Gerezan ndugu zako wajue umefungwa kuliko kupotezwa kama Ben Saanane au Azor ndugu wakashindwa Kujua uko wapi ukawaacha na simanzi isiyokwisha.
 
Mwongo akiulizwa maswali mawili matatu lazima ajichanganye. Yaani kanuni ya uongo kuonekana ukweli ni kuwa uongo huo usihojiwe wala kujibiwa. You only say once🤣🤣🤣
 
Na wee una amini wale ni TRA???
Wale sio TRA kwa taarifa yenu. TRA wanatumika tu
 
Mwongo akiulizwa maswali mawili matatu lazima ajichanganye. Yaani kanuni ya uongo kuonekana ukweli ni kuwa uongo huo usihojiwe wala kujibiwa. You only say once🤣🤣🤣
Hebu nikumbushe Jambo moja kwenye Ile video ya jaribio la Kiluvya kuna mahali plate namba ya watekaji ilionekana? Maana kwenye movie ya Kamanda eti plate number ilibadilishwa😂
 
Tangu vifo vile vitukufu vya Songwe wameacha ule ujinga, Unakimbiza mtu kisa vitenge pea 5!
 
Katika maelezo yote uliyoorodhesha, hakuna mahali ambapo naweza kusema wamejichanganya
 
😲😲😲
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…