Volodimiri Zelensiki
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 1,154
- 3,417
Bro kwani serikali inakoridani mbona hushangai na kutishia. Njoo uniteke basiKuwa makini ndugu yangu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bro kwani serikali inakoridani mbona hushangai na kutishia. Njoo uniteke basiKuwa makini ndugu yangu.
Sisi wote ni Tanzania. Tulia utoe maoni ya kujenga mkuu Mimi CHADEMA damu.Bro kwani serikali inakoridani mbona hushangai na kutishia. Njoo uniteke basi
Na alikuwa anasoma CBE. Waajiri wake TRA hawana hata picha yake official. Tanzia yake imetangazwa na Bodi ya Wakurugenzi halafu ni Dereva. Hata kama wanatuona mafala sio kiasi hichi😔😔Inawezekana ikawa kweli jamaa aliyededishwa ni kitengo ,nimeona msigwa ,mwigulu ,muliro wamekasirika sana ,halafu jamaa account yake amewafollow stars tu ,nahisi kwa ajili ya kupata info.
Naunga mkono,wabondwe tu maana tumewachoka na drama zao.Kwa uchambuzi huo, hao ni TRA kweli?
Lakini wapigwe tu maana hakuna namna!
Wanamaanisha hakuna ulinzi mipakani.Hilo gari limeingiaje kinyemela?
Hebu nikumbushe Jambo moja kwenye Ile video ya jaribio la Kiluvya kuna mahali plate namba ya watekaji ilionekana? Maana kwenye movie ya Kamanda eti plate number ilibadilishwa😂
MkwaraTulishakubaliana ' Kifo ni kifo tu' SASA hizi press conference za nini?🤷
Hata mimi nimekuwa na shaka kuwa kweli huyo wa kwenye picha ni mfanyakazi wa TRA. Maani sioni wakisema ni mtumishi TRA tawi gani hapa mjini.TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.
1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.
2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.
3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?
4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.
5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.
6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.
7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Polisi watamkata yoyote ili kutisha watu, lakini hao task force a.k.a watu wasijulikana sasa hivi ni kuwapiga kiberiti tu wakijitokeza.Kwa maswali haya naona ulitaka wakuandikie gazeti zima ndo uelewe na bado ungeuliza alivyoingia kazini alivaa boksa ya rangi gani.
Cha muhimu watuhumiwa watatu wameshakamatwa na kwa staili hii ya kujichukulia sheria mkononi na kwa polisi ninavyo wajua watu wajiandae kukamatwa kwenye zoazoa utaenda kushinda mahakamani kesi ndiyo lakini utakuwa umekaa gerezani mahabusu siyo chini ya mwaka mzima kwa kesi ya mauaji.
Kwahiyo ni muda wa kila mtu kuangalia step zake
Serikali imewalea, (kumbatia), watu wasiojulikana kwa muda mrefu tume zinaundwa nyuma ya mikamera majibu nyuma ya paziaWasipoangalia tutaanza kuwawinda na kuwaua popote wanapokuwa
Kwanza TRA huwa hawakamati wenyewe ni aidha wanaweka road block kisha askari ndio wanasimamisha magari
Pili kama sio road block bali ni kutafuta magari mitaani pia hawafanyi wenyewe bali hukutumia kampuni za madali kama YONO na Maembe nao pia hawafanyi peke yao bali husaidiwa na jeshi la polisi
Huo ndio utaratibu rasmi
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.
1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.
2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.
3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?
4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.
5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.
6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.
7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.