TRA wanajichanganya sana kwenye suala la Tegeta

TRA wanajichanganya sana kwenye suala la Tegeta

TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Kwa uchambuzi huo, hao ni TRA kweli?
Lakini wapigwe tu maana hakuna namna!
 
TRA Tanzania Kuna maswali yenu huku
Hayo maswali yanajirudia ila Kimsingi yapo maswali mawili tu

Majibu

1. Afisa uchunguzi yoyote Sifa yake Kuu ni " Machale kumcheza" kwahiyo maafisa hapo kulituhumu hilo Gari ni jambo la Kawaida sana
Kayombo amesema hilo Gari lilitiliwa shaka hivyo lilisimamishwa kwa sababu ya ukaguzi na endapo ingedhihirika Kuna Jinai police wangetaarifiwa kwa hatua za ukamataji

2. Utendaji KAZI wa Kila siku wa TRA hauhitaji KIBALI cha Mahakama vinginevyo KAZI za Mahakama zingekuwa ni kutoa vibali vya TRA kila siku na Kesi za Wananchi zisingesikilizwa

Summons huhitajika kwenye utekelezaji wa majukumu maalumu

Na mwisho Customs department - TRA wanafanya KAZI saa 24 miaka yote kabla hata TRA haijaasisiwa

Ahsante sana 😄🌹
 
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
'Kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu'.........Hapa ndipo kwenye mashaka zaidi
 
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Acha kuumiza kichwa, yule dogo hakuwa muajiriwa wa TRA. Wamebebeshwa gunia la mavi kwa lazima hivyo wanaenda nalo hivyohivyo mpaka mambo yatakapopoa, wao ni sehemu ya dola hivyo wamepewa jukumu la kuvifichia aibu vyombo vinavyowaongoza wasiojulikana.
 
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Ungekuwa na ABC ya mbinu wanazotumia wakwepa kodi, ungejiona unaliuza ujinga
 
Kwa maswali haya naona ulitaka wakuandikie gazeti zima ndo uelewe na bado ungeuliza alivyoingia kazini alivaa boksa ya rangi gani.

Cha muhimu watuhumiwa watatu wameshakamatwa na kwa staili hii ya kujichukulia sheria mkononi na kwa polisi ninavyo wajua watu wajiandae kukamatwa kwenye zoazoa utaenda kushinda mahakamani kesi ndiyo lakini utakuwa umekaa gerezani mahabusu siyo chini ya mwaka mzima kwa kesi ya mauaji.

Kwahiyo ni muda wa kila mtu kuangalia step zake
Na baadaye watatoka lakini ile maiti haitafufuka.
 
Hayo maswali yanajirudia ila Kimsingi yapo maswali mawili tu

Majibu

1. Afisa uchunguzi yoyote Sifa yake Kuu ni " Machale kumcheza" kwahiyo maafisa hapo kulituhumu hilo Gari ni jambo la Kawaida sana
Kayombo amesema hilo Gari lilitiliwa shaka hivyo lilisimamishwa kwa sababu ya ukaguzi na endapo ingedhihirika Kuna Jinai police wangetaarifiwa kwa hatua za ukamataji

2. Utendaji KAZI wa Kila siku wa TRA hauhitaji KIBALI cha Mahakama vinginevyo KAZI za Mahakama zingekuwa ni kutoa vibali vya TRA kila siku na Kesi za Wananchi zisingesikilizwa

Summons huhitajika kwenye utekelezaji wa majukumu maalumu

Na mwisho Customs department - TRA wanafanya KAZI saa 24 miaka yote kabla hata TRA haijaasisiwa

Ahsante sana 😄🌹
Wale hawakuwa TRA, unadhani yule dogo iliyededishwa alikuwa anaishi hewani? Watu wanamfahamu na ndiyo maana wanashangaa katoka lini kitengo kuingia TRA?
Hawa madogo wanatumika vibaya acha waonje joto ya jiwe, wametesa na kuua sana so let them feel the music as well. What goes around comes around.
 
Probably kuna jambo hatulijui,
Niliuliza kama TRA wana uwezo wa kumfukuzia mtu na kutaka kumkamata bila uwepo wa askari polisi tena usiku,ama tra nao ni kama jeshi?
 
Wale hawakuwa TRA, unadhani yule dogo iliyededishwa alikuwa anaishi hewani? Watu wanamfahamu na ndiyo maana wanashangaa katoka lini kitengo kuingia TRA?
Hawa madogo wanatumika vibaya acha waonje joto ya jiwe, wametesa na kuua sana so let them feel the music as well. What goes around comes around.
Kwani hujui 80% hapo TRA ni kitengo 😂😂😄😂
 
Wale hawakuwa TRA, unadhani yule dogo iliyededishwa alikuwa anaishi hewani? Watu wanamfahamu na ndiyo maana wanashangaa katoka lini kitengo kuingia TRA?
Hawa madogo wanatumika vibaya acha waonje joto ya jiwe, wametesa na kuua sana so let them feel the music as well. What goes around comes around.

Inawezekana ikawa kweli jamaa aliyededishwa ni kitengo ,nimeona msigwa ,mwigulu ,muliro wamekasirika sana ,halafu jamaa account yake amewafollow stars tu ,nahisi kwa ajili ya kupata info.
 
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Hao ni vijana wahuni tu aka vishoka walikuwa wanafukuzia dili

Siku hizi Kuna vijana hapo tra eti unaweza kuwatuma kwa madeni wako wakadai madeni yenye VAT

Hii huduma mpya sijui?;comissiona anaowatumia? Wadai Kodi kwa utaratibu huu
 
TRA wanajichanganya Sana kwenye suala lililotokea Tegeta la wanaodaiwa wafanyakazi wake kushambuliwa.

1. Kwanza, wanadai gari aina ya BMW T229 DHZ limeingia nchini kinyemela hivyo walikuwa wanalifukuza Hilo gari ili walikamate. Swali ni je Hilo gari liliingiaje nchini Kama sio hao hao TRA waliliruhusu?.

2. Pili, TRA wanadai kwamba kwenye regista yao gari yenye usajili wa T229 DHZ ni minibus na sio BMW. Swali linakuja waligundua Hilo suala usiku huo huko Tegeta ndipo wakaanza kumfukuza huyo mwenye gari la BMW? au waligundua kuhusu suala Hilo zamani ila wakawa wanamtafuta mmiliki au wanampa wito ila hafiki TRA ndipo wakaamua kumuambush huko Tegeta? TRA hawajafafanua vizuri kuhusu hili.

3. Tatu, TRA wanadai hawahitaji ruhusa ya mahakama kutekeleza majukumu yao. Ninachojua TRA kabla hawajakuvamia lazima wakupe barua ya summons au taarifa. Je walimpa mwenye gari taarifa kwamba wanamuhitaji?. Na Kama walimpa taarifa akakataa kutii kwanini hawakuongozana na polisi kumkamata kazini kwake, nyumbani kwake baadala ya kufukuzana barabarani Kama majambazi?

4. Nne, TRA hawajaweka wazi mfanyakazi aliyefariki alikuwa kitengo gani. Taarifa zake zipo juu juu. Hakuna maelezo ya ziada. Hata picha yake rasmi hakuna. Hili linazua maswali je alikuwa kweli mfanyakazi wa TRA au kundi la watu wasiojulikana.

5. Tano, kwanini dereva wa BMW alipiga kelele kwamba anatekwa. Kama alijua anatafutwa na TRA na kweli TRA wakamfikia kwanini apige kelele?. Kuna kitu kinafichwa hapa. Watu wengi hukamatwa na TRA lakini huwa hawapigi kelele za kutekwa. Tena kwenye kadamnasi Kama ile ya TEGETA.

6. SITA, kwanini TRA walisubiri mpaka usiku ndipo waanze kumsaka dereva wa BMW. Hawajaelezea sababu ya kutokumtafuta mchana au asubuhi na kuamua kumkimbiza usiku Tena Kwa kuizonga gari yake kwa mbele. TRA wanamaswali ya kujibu.

7. Mwisho, TRA waache kufukuzana na wateja kienyeji. Miaka kama minne nyuma Kuna wafanyakazi wa TRA walifariki wote kwenye kwa ajali wakati wakimfukiza bodaboda mwenye magendo huko Mkoani Songwe. Ni muda wa kutumia mbinu ambazo sio hatarishi kwa wafanyakazi na Kwa wateja pia.
Kwanza TRA huwa hawakamati wenyewe ni aidha wanaweka road block kisha askari ndio wanasimamisha magari
Pili kama sio road block bali ni kutafuta magari mitaani pia hawafanyi wenyewe bali hukutumia kampuni za madali kama YONO na Maembe nao pia hawafanyi peke yao bali husaidiwa na jeshi la polisi
Huo ndio utaratibu rasmi
 
Back
Top Bottom